Friday 29th, March 2024
@Shule ya msingi Nyasa English Medium
Mkuu wa wilaya ya Kyela akiwa anapanda mti katika viwanja vya shule ya msingi Nyasa English medium, ikiwa ni ishara la zoezi la maazimisho ya siku ya upandaji miti duniani.
Baadhi ya wananchi waliojitokeza katika zoezi la upandaji miti katika eneo la shule ya msingi Nyasa English medium iliyopo katika kata ya Nkuyu wilayani Kyela.
Bomani Street
Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela
Simu ya Mezani: 025-2540035/7
Simu ya Mkononi: 0713655466
Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz
Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa