• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Ifikapo tarehe 25/08/2019 Miradi ya mwenge Iweimekamilika _Kawacha

Imewekwa Kwenye: August 30th, 2019

Hayo yameingizwa na katibu tawala wa halmashauri ya wilaya ya kyela mhe. Kawacha alipotembelea miradi ya mwenge wa uhuru iliyopo wilayani kyela katika kata ya mababu na kata ya matema tarehe 30/07/2019.

          Katibu tawala wa halmashauri ya wilaya ya kyela alitembelea jumla ya miradi 6 itakayopitiwa na mbio za mwenge wa uhuru tarehe 06/09/2019 yote ikiwa na thamani ya shilingi milioni 459, 143, 508.4 ambayo yote hii imetokana na utekelezaji wa serikali kuu kupitia halmashauri ikishirikiana na wadhamini wakiwemo Bioland.

        Aidha ametoa pongezi kwa wadau wote walioshiriki katika utekelezaji wa miradi hiyo na kuwataka viongozi waendelee kusimamia vyema miradi hiyo mpaka ifikapo tarehe 25/08/2019 iwetayari kupisha uzinduzi wa mbio za mwenge wa uhuru utakaofika wilayani kyela mnamo tarehe 06/09/2019.

       Mwenge wa uhuru unatarajia kuingia wilayani kyela mnamo tarehe 06/09/2019 ukiwa ni mwendelezo wa uzinduzi wa miradi ya  maendeleo kwa mwaka huu wa fedha 2019/2020 kupitia kauli mbiu yake ya “ Maji ni haki ya kila mtu tutunze vyanzo vyake na tukumbuke kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa”.

        Hata hivyo serikali yetu ya awamu ya tano ya Dkt. John Magufuli imefanya juhudi kubwa katika kuhakikisha huduma zote za kijamii zinaboreshwa ikiwemo huduma ya maji, Afya, miundombinu, pamoja na elimu lengo likiwa ni kuhakikisha kila mtu anapata huduma mhimu bila kujali hali yake ya kiuchumi.


Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATAALAM WA AFYA KUTOKA MALAWI WAFANYA KIKAO NA WATAALAM WA AFYA KUTOKA KYELA KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO

    July 02, 2025
  • BIDHAA FEKI ZILIZOINGIA KWA NJIA HARAMU ZATEKETEZWA KWA MOTO

    July 01, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • SERIKALI YAWAPUNGUZIA WANANCHI ADHA YA ELIMU KWA KUJENGA SHULE KARIBU YAO

    June 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa