• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kyela District Council
Kyela District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kyela District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Health1
      • Secondary Education
      • Agriculture
      • Admin and Human Resource
      • Planning, Statistics and monitoring
      • Land and Natural Resource
      • Community Development and Social Welfare
      • Finance
      • Water Servises
      • Environment and Sanitation
      • Primary Education
      • Livestock and Fisheries
    • Units
      • Internal Audit Unit
      • Trade and Industry
      • Legal Unit
      • Procurement Unit
      • ICT
  • Investiment
    • Tourist Attraction
    • Agriculture
    • Livestock
  • Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fisheries
  • Coucilors
    • Councilors List
    • Standing Committe
      • Finance, Planning and Adminstration
      • HIV/AIDS
      • Environment, works and Economics
    • Time table
  • Projects
    • Planned New Project
      • Ongoing Project
    • Ongoing Project
    • Completed Projects
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery

Kyela Ambassadors Watoa Vifaa Vya Shilingi 177,000/= Kusaidia Mapambano Dhidi Ya Virusi Vya Corona

Posted on: April 27th, 2020

katikati ni Katibu tawala wa wilaya ya Kyela (shati jekundu) kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela (suti) na anaemfuata ni kiongozi wa Kyela ambassadors.

Kiongozi wa Kyela Ambassadors ndugu Aliko Mwaseba, ameongozana na wanachama wa kikundi hicho hadi katika ofisi za Halmashauri ya wilaya ya Kyela, leo tarehe 27/04/2020, kwa lengo la kutosha baadhi ya vifaa vitakavyowasaidia wananchi kujikinga na virusi vya corona (COVID-19).

Vifaa hivyo vilivyotolewa ni pamoja na majaba ya maji 6 na sabuni (sanitizer), Akizungumza wakati wa kukaabidhi vifaa hivyo, ndugu Aliko Mwaseba amesema wao kama kikundi wameamua kuiunga mkono serikali ya awamu ya tano dhidi ya kupambana na ugonjwa huu, ugonjwa huu umekuwa ni tishio kwa nchi yetu na hata kwa dunia nzima, hivyo wao kama kikundi wameguswa na janga hili hata kufikia maamuzi ya kuchanga na kununua vifaa hivyo vichache ili kuwasaidia wananchi hapa wilayani Kyela. 

Akipokea vifaa hivyo kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Kyela, Mhe. Katibu Tawala ndugu Godfrey Kawacha ametoa shukrani zake za dhati kwa kikundi hicho na aliwataka wajumbe wa kikundi hicho kuendelea na moyo huo wa kujitolea, na kwa kufanya hayo watabarikiwa zaidi katika shughuli zao. 

Pia aliwataka kuongezeka ili kuwa wengi zaidi katika kikundi chao kwa malengo ya kuweza kuwafikia wananchi wengi kwa shughuli wazifanyazo. Mwisho alisema, Wanakyela watawaona hamko nyuma katika kuunga mkono jitahida ya kupigana na ugonjwa huu mbaya. 

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela ndugu Ezekiel Magehema ametoa shukrani zake kwa kikundi hicho , kisha akasema:
Kundi hili likawe ni walimu wa kutoa elimu juu ya taratibu ambazo zinatumika pale mgonjwa anapojitokeza katika jamii, yaani kumpleka mgonjwa mwenye dalili za corona  katika kituo cha kutolea huduma za afya kwa haraka. 

Pia aliwataka kuzingatia taratibu zote ambazo zimewekwa za  kujizuia na virusi vya corona, Na kuzingatia ushauri uliotolewa na Mhe. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Joseph Pombe Magufuli kwa kufanya tendo la kujifukiza kwani Corona ni vita.

Announcements

  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Kwanza 2021 Kyela December 19, 2020
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 16, 2020
  • Orodha Ya Majina Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Tano Na Vyuo Vya Kati 2020 June 17, 2020
  • Orodha Ya Majina Ya Walioteuliwa Kuwa Wasimamizi Na Makarani Waongozaji Katika Uchaguzi Mkuu October 28th 2020 October 19, 2020
  • View All

Latest News

  • Serikali Ya Gharamia Zaidi Ya Shilingi Bilioni tatu (3,000,000,000) Kujenga Mradi Wa Maji Kyela

    January 02, 2021
  • Mheshimiwa Mwenyekiti Wa Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyela Afanya Ziara Katika Ujenzi Wa Vyumba Vya Madarasa

    December 29, 2020
  • Hizi Pesa Ni Zenu Wananchi-Claudia U. Kitta

    December 17, 2020
  • Mheshimiwa Mbunge Wa Jimbo La Kyela Afanya Kikao Na Watumishi

    December 15, 2020
  • View All

Video

RAIS MAGUFULI AKIWA SONGEA
More Videos

Quick Links

  • Mbeya Region Website

Related Links

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • facebook

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Bomani Street

    Postal Address: P. O box 320 Kyela

    Telephone: 025-2540035/7

    Mobile: 0756944794

    Email: ded@kyeladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Kyela District Council . All rights reserved.