• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kyela District Council
Kyela District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kyela District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Health1
      • Secondary Education
      • Agriculture
      • Admin and Human Resource
      • Planning, Statistics and monitoring
      • Land and Natural Resource
      • Community Development and Social Welfare
      • Finance
      • Water Servises
      • Environment and Sanitation
      • Primary Education
      • Livestock and Fisheries
    • Units
      • Internal Audit Unit
      • Trade and Industry
      • Legal Unit
      • Procurement Unit
      • ICT
  • Investiment
    • Tourist Attraction
    • Agriculture
    • Livestock
  • Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fisheries
  • Coucilors
    • Councilors List
    • Standing Committe
      • Finance, Planning and Adminstration
      • HIV/AIDS
      • Environment, works and Economics
    • Time table
  • Projects
    • Planned New Project
      • Ongoing Project
    • Ongoing Project
    • Completed Projects
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery

Waheshimiwa Madiwani Watembelea Miradi Mbalimbali Wilayani Kyela

Posted on: October 20th, 2019


Leo nakuletea picha za miradi mbalimbali ambayo imeweza kutembelewa na Waheshimiwa Madiwani wa wilaya ya Kyela, katika robo ya kwanza ya mwaka 2019-2020.

Miradi hii yote ni jitihada zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano, ikisaidiana na nguvu za wananchi katika maeneo husika, ambapo miradi hiyo inatekelezwa. 

Uanzishwaji wa miradi hii ni jitihada za serikali ya awamu ya tano, katika kuhakikisha wananchi waondokana na umaskini, hivyo Waheshimiwa madiwani kupitia kamati zao za kudumu wametembelea miradi hii ili kutoa ushauri na kuhimiza kasi ya ukamilishaji wa miradi ya wananchi na Serikali ili Mradi M kukamilika kwa wakati. 

Picha ya jengo la zahanati inayojengwa katika kijiji cha Kasala.

Waheshimiwa madiwani wakitembelea Ujenzi wa zahanati katika kijiji cha Kasala, kilichopo katika kata ya Mwaya wilayani Kyela, hadi kufikia hapo zaidi ya shs. Milioni 21,900,00/= zimeshatumika. 

Mradi wa ukarabati wa miundo mbinu ya maji lubaga. 

Huu ni mojawapo ya mradi ambao umetembelewa na Waheshimiwa Madiwani, mradi huu unafanywa baada ya mkandarasi aliekuwa akijenga barabara kuuharibu, hivyo kufanya ukarabati upya. 

Mradi huu unafanyika katika kijiji cha lubaga Kata ya Bujonde wikayani Kyela. 

Mradi huu utatumia kiasi cha shilingi milioni 54,560,000/= hadi kukamilika kwake.

Hapa Wahesimiwa madiwani wakitembelea ujenzi wa zahanati inayojengwa katika kijiji cha Kyangala Kata ya Talatala wilayani Kyela. 

Ujenzi huu ni kwa nguvu ya serikali ikisaidiana na nguvu ya Wananchi waishio ndani na nje ya kijiji hicho. 

Hata hivyo waheshimiwa Madiwawani waliweza kutembelea vituo vya ukusanyaji wa mapato, ziara zilizofanywa ghafla ili kujua utekelezaji wa majukumu katika maeneo hayo. 

Announcements

  • Ajira Tena (BVR) November 25, 2019
  • Makadilio Ya Bajeti Ya Mapato Na Matumizi Ya Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyela 2018/2019 October 15, 2018
  • Nafasi Za Kazi March 01, 2019
  • Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili WA Nafasi Zach kazi April 05, 2019
  • View All

Latest News

  • Tusikilize,Tuyaelewe Yote Tujifunzayo -Polycap Ntapanya

    November 29, 2019
  • Mheshimiwa Diwani Wa Kata Ya Mwaya Afariki Dunia Kyela

    October 30, 2019
  • Acheni Uvuvi Haramu-Luaga Joelson Mpina

    October 27, 2019
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Asikiliza Kero Kwa Wananchi WA Kata Ya Matema

    October 21, 2019
  • View All

Video

RAIS MAGUFULI AKIWA SONGEA
More Videos

Quick Links

  • Mbeya Region Website

Related Links

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • facebook

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Bomani Street

    Postal Address: P. O box 320 Kyela

    Telephone: 025-2540035/7

    Mobile: 0767563310

    Email: ded@kyeladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Kyela District Council . All rights reserved.