• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Waheshimiwa Madiwani Watembelea Miradi Mbalimbali Wilayani Kyela

Imewekwa Kwenye: October 20th, 2019


Leo nakuletea picha za miradi mbalimbali ambayo imeweza kutembelewa na Waheshimiwa Madiwani wa wilaya ya Kyela, katika robo ya kwanza ya mwaka 2019-2020.

Miradi hii yote ni jitihada zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano, ikisaidiana na nguvu za wananchi katika maeneo husika, ambapo miradi hiyo inatekelezwa. 

Uanzishwaji wa miradi hii ni jitihada za serikali ya awamu ya tano, katika kuhakikisha wananchi waondokana na umaskini, hivyo Waheshimiwa madiwani kupitia kamati zao za kudumu wametembelea miradi hii ili kutoa ushauri na kuhimiza kasi ya ukamilishaji wa miradi ya wananchi na Serikali ili Mradi M kukamilika kwa wakati. 

Picha ya jengo la zahanati inayojengwa katika kijiji cha Kasala.

Waheshimiwa madiwani wakitembelea Ujenzi wa zahanati katika kijiji cha Kasala, kilichopo katika kata ya Mwaya wilayani Kyela, hadi kufikia hapo zaidi ya shs. Milioni 21,900,00/= zimeshatumika. 

Mradi wa ukarabati wa miundo mbinu ya maji lubaga. 

Huu ni mojawapo ya mradi ambao umetembelewa na Waheshimiwa Madiwani, mradi huu unafanywa baada ya mkandarasi aliekuwa akijenga barabara kuuharibu, hivyo kufanya ukarabati upya. 

Mradi huu unafanyika katika kijiji cha lubaga Kata ya Bujonde wikayani Kyela. 

Mradi huu utatumia kiasi cha shilingi milioni 54,560,000/= hadi kukamilika kwake.

Hapa Wahesimiwa madiwani wakitembelea ujenzi wa zahanati inayojengwa katika kijiji cha Kyangala Kata ya Talatala wilayani Kyela. 

Ujenzi huu ni kwa nguvu ya serikali ikisaidiana na nguvu ya Wananchi waishio ndani na nje ya kijiji hicho. 

Hata hivyo waheshimiwa Madiwawani waliweza kutembelea vituo vya ukusanyaji wa mapato, ziara zilizofanywa ghafla ili kujua utekelezaji wa majukumu katika maeneo hayo. 

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MILIONI 570 ZATOLEWA KWA VIKUNDI VYA VIJANA, WANAWAKE PAMOJA NA WATU WENYE ULEMAVU

    January 07, 2026
  • MKURUGENZI MTENDAJI KYELA ADV. FLORAH A. LUHALA AWATAKA WATUMISHI WAPYA 50 KULINDA NIDHAMU YA KAZI NA KUHUDUMIA WANANCHI

    December 05, 2025
  • THOBIAS JOSEPH MWAMKONDA APITA KWA KISHINDO KUWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA

    December 02, 2025
  • DC KYELA AONGOZA KIKAO KAZI NA WATENDAJI WA KATA, WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI

    November 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa