Haya yamezungumzwa na Kaimu Mkurugenzi Ndugu Polycap Mtapanya, alipokuwa akifungua mafunzo ya (BVR), kwa watendaji kata leo tarehe 29/11/2019. Katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela.
Amesema, tunaamini watendaji mnatambua nini mnatakiwa kufanya,
Tunaomba utulivu na myafanye yale ambayo mtaelekezwa.twende haraka na kwa umakini mkubwa. kwani zoezi hili ni la kitaifa na ni zoezi muhimu sana, umakini wetu wa kusikiliza mafunzo haya utatufanya kufanikiwa ziezi hili.
Maafisa waandikishaji wakijiandaa kutoa semina ya uandikishaji kwa watendaji.
Bomani Street
Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela
Simu ya Mezani: 025-2540035/7
Simu ya Mkononi: 0713655466
Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz
Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa