• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kamati Ya Siasa Ya Wilaya Ya Kyela Yatembelea Na Kukagua Miradi Ya Maendeleo

Imewekwa Kwenye: July 4th, 2022

Kamati ya Siasa ya wilaya ya Kyela, ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi wilaya Mheshimiwa Patrick Mwampeta, imetembelea na kukagua miradi ya maendelo hapa wilayani Kyela, ikiwa ni ziara ya kawaida kwa robo ya kwanza mwaka 2022/2023.

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na mradi wa meli ya abiria katika ziwa Nysa, ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa katika shule ya msingi Ipyana, ujenzi wa shule ya sekondari Bondeni, ujenzi wa wodi ya mama na mtoto katika eneo la hospitali ya wilaya, duka la wanawake ambao wamenufaika na mkopo wa kuwawezeza wanawake, vijana pamoja na watu wenye ulemavu.

Miradi mingine iliyotembelewa ni pamoja na mradi wa ujenzi wa zahanati katika kata ya Ndandalo, mradi wa maji mjini (Mbambo), mradi wa maji vijiji (Sinyanga group).

Aidha katika ziara hiyo wajumbe wa kamati ya siasa waliweza kutembea wanufaika wa mradi wa TASAF kwa lengo la kujua maendeleo yao mara baada ya kunufaika na mradi huo, Hata hivyo viongozi hao hawakusita kutoa pongezi kwa Rais wa awamu ya Sita Mheshimiwa Suluhu Hassan, kwa kuwaona wananchi wa Kyela na hata kuwaletea miradi mingi ya maendeleo katika wilaya ya Kyela.

Pamoja na kutoa maelekezo kwa wataalam kwa baadhi ya miradi kukamilishwa kwa wakati, kamati hiyo ililidhia miradi yote ya maendeleo waliyoitembelea.

Matangazo

  • KUAHIRISHWA KWA MAFUNZO YA SENSA July 28, 2022
  • Nafasi Za Kazi May 26, 2022
  • Orodha Ya Majina Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Tano Na Vyuo Vya Kati 2020 June 17, 2020
  • Orodha Ya Majina Ya Walioteuliwa Kuwa Wasimamizi Na Makarani Waongozaji Katika Uchaguzi Mkuu October 28th 2020 October 19, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mkuu Wa Mkoa Wa Mbeya Ashangazwa Uwezo Wa Timu Nzuri Za Mpira Zilizopo Wilayani Kyela

    August 11, 2022
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Azindua Mabweni 2 Bwalo 1 La Chakula Katika Shule Ya Sekondari Kafundo

    July 30, 2022
  • Mkuu Wa Mkoa Wa Mbeya Afungua Rasmi Mashindano Ya Mbeya Super Cup Wilayani Kyela

    July 15, 2022
  • Mkuu Wa Wilaya Ashiriki Mnada Wa Zao La Kokoa Kyela

    July 12, 2022
  • Angalia Zote

Video

Mkuu wa wilaya katika Balaza la Madiwani
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0756944794

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa