• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mheshimiwa Mbuge Wa Jimbo La Kyela Agawa Pikipiki Kwa Bodaboda

Imewekwa Kwenye: October 30th, 2023

Mbunge wa jimbo la Kyela Mhe. Ally Mlaghila Jumbe leo tarehe 31/10/2023 amegawa Pikipiki 4 kwa vikundi 4 vya bodaboda hapa wilayani Kyela.

Vikundi vilivyogawiwa ni kikundi cha bodaboda njia panda Kapwili kata ya Bondeni, kikundi cha bodaboda njia panda ya Ipinda, kikundi cha bodaboda Kalumbulu pamoja na kikundi cha bodaboda katika hospitali ya wilaya ya Kyela.

Aidha amegawa mifuko 100 ya saruji katika shule ya sekondari Lubele ili kusaidia ujenzi wa miundo mbinu ya shule, bando 4 za bati katika ujenzi wa ofisi ya kijiji cha Talatala, mifuko 100 katika mradi wa maji kambasegela.

Pamoja na kukabidhi vitu hivyo Mhe. Mlaghila amesema Kwa mwaka wa fedha 2022/2023 ofisi ya Mbunge imesadia ujenzi wa Zahanati ya Kingili kwa kutoa fedha Tsh.1,000,000/= na saruji mifuko 50, Kusaidia ujenzi wa matundu 14 ya vyoo katika shule ya msingi Kyijila kata ya Nkokwa, Saruji mifuko 200 kwa ujenzi wa kituo cha afya Itope.

Si hayo tu bali Ofisi imesaidia ununuzi wa mafuta katika kituo cha polisi Tshs. 5,000,000/=, uboreshaji wa kiwanja cha mpira Ikombe shs.2,000,000/=, ununuzi wa compyuta na "printer"

Ofisi imetoa Tshs 2,750,000/= kusaidia ujenzi wa kituo cha afya Ngereka kata ya makwale, ofisi imesaidia Tshs 2,000,000/=, kikundi cha kutengeneza batiki Tuganene, ununuzi wa taa za barabarani pamoja na mambo mengine mengi.

Mhe. Ally Mlaghila Jumbe amesema, amegawa hivi vitu kwa sababu ya nguvu ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassani, maana bila nguvu yake asingeweza kuyafanya hayo, hivyo wanaKyela hatuna budi kumshukuru Mhe. Rais.

Mwisho amesema vitu hivi vyote vinatolewa ikiwa ni ushirikiano uliopo baina ya viongozi wa wilaya ya kyela, akiwemo Mhe. Mkuu wa wilaya, Baraza la madiwani, Mkurugenzi na wataalamu wa halmashauri ya wilaya ya Kyela.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa