• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Michuano Ya Mpira Wa Miguu Samia Nanenane Pre Season League 2023 Yafunguliwa Kyela

Imewekwa Kwenye: July 28th, 2023


Mashindano ya Samia Nanenane Pre Season League 2023, yamefunguliwa leo tarehe 27/07/2023 wilayani Kyela katika viwanja vya Kipija Arena na viwanja vya Mwakangale.

Akifungua mashindano katika viwanja vya Kipija Arena, Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera amesema;

Michuano hii imeanzishwa kwa lengo la kumuunga mkono Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassani, ambae amekuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha michezo, hususani mpira wa miguu, ambapo katika mashindano ya ligi kuu Tanzania, alitoa shilingi milioni 5 hadi 20 ili kuongeza hamasa kwa wachezaji kupata ushindi.

Amesema, Viongozi wa Mikoa wameamua kufanya mashindano hayo kwa kutambua mchango alionao Mhe. Rais wa kupenda michezo.

"Nimekuja katika mashindano haya nikiwa na jenzi ambazo zimetolewa na wadhamini, nitazigawa jenzi kwa timu zote hadi timu za wageni zitapata".

Aidha Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa amekitaka chama cha mpira Kyela, kujitathimini na kuhakikisha kufikia mwakani lazima wawe na timu ambayo itakuwa inashiriki daraja la 2 au la 3, kama kitashindwa basi viongozi ni heki wakee pembeni kuwapisha watakoweza kuinua timu kutoka wilaya ya Kyela.

Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine Manase kwa niaba ya wananchi wa wilaya ya Kyela, amemshukuru Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa mbeya kwa kuleta mashino ya mpira wilayani Kyela, kwani yanaongeza hamasa kwa wananchi kuipenda michezo.

Nae Mbunge wa jimbo la Kyela Mhe. Ally Mlaghila Jumbe, amempongeza Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kwa kuipenda wilaya ya Kyela na kuleta mashindano ya Samia Nanenane Pre season league 2023, Pia ametoa shukrani zake za dhati kwa Mhe. Rais wa Jamhuri Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwa kuipa miradi mingi ya maendeleo wilaya ya Kyela. Amesema pamoja na hayo bado Mhe. Rais ametupa shilingi bilioni 3 ambazo zinajenga shule ya wasuchana ya mkoa katika kata ya Busale.

Awali Afisa Michezo wa Mkoa ndugu Mfugale alizitaja timu zinazoshiriki mashindano hayo kuwa ni pamoja na timu ya Mbeya City, Ken Gold, Nakonde Tc kutoka Zambia, Tanzania Prison, Ihefu, Mbeya kwanza, Rungwe Dc, Chunya Dc, Mbarali Dc, Timu 2 kutoka Malawi pamoja na bingwa Mtetezi Kyela Dc.
Finali za mashindano hayo inatarajiwa kufanyika tarehe 02/08/2023.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa