• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mwenyekiti Wa Halmashauri Ya Kyela Awataka Wananchi Kyela Kuachana Na Mila Potofu

Imewekwa Kwenye: March 6th, 2020

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Mhe. Hunter Mwakifuna, amewataka wananchi wa Kyela kuachana na mila potofu zinazowapelekea kujiingiza katika maswala ya ukatili wa kijinsia. 

Amezungumza haya siku ya tarehe 06/03/2020, katika kata ya Ipinda wilayani Kyela alipokuwa akifungua mafunzo ya kupinga ukatili wa kijinsia yaliyokuwa yakitolewa na ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Kyela kupitia ofisi ya Maendeleo ya Jamii. 

Akizungumza na makundi ya wazee maarufu, viongozi wa dini, watendaji kata amesema, Wananchi wengi katika wilaya ya Kyela wamejiingiza katika ushirikina katika kutafuta mali, ambapo wengi wamekuwa wakiwabaka vikongwe pamoja na kuwalawiti watoto wadogo. Jambo hili linapelekea uchochezi wa ukatili wa kijinsia katika wilaya yetu. 

Aidha alikemea baadhi ya tabia za wazazi ambao ndugu zao au watoto wao wamefanyia ukatili, kuachatabia ya kusema kuwa, wanandugu wamemalizana kwani tabia hii si nzuri, kwani anaekuwa kafanyiwa vitendo hivyo ni mtoto na ndie alieathilika hivyo wazazi hawapaswi kufuta kesi kama hizo na inawapasa kuheshimu sheria na haki zitendeke. 

Kwa upande wake Afisa Maendeleo wa wilaya ya Kyela Ndugu Victor Kabuje alisema, wamejipanga kukabiliana na wazazi wote ambao wamekuwa wakifuta kesi kwa sababu ya kusema wamemalizana, na hata hivyo wameanza kwa kwa kutoa elimu kwanza, na elimu hii wanategemea kuifikishia jamii yote ya Kyela kwa kupitia makundi mbalimbali. 

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATAALAM WA AFYA KUTOKA MALAWI WAFANYA KIKAO NA WATAALAM WA AFYA KUTOKA KYELA KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO

    July 02, 2025
  • BIDHAA FEKI ZILIZOINGIA KWA NJIA HARAMU ZATEKETEZWA KWA MOTO

    July 01, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • SERIKALI YAWAPUNGUZIA WANANCHI ADHA YA ELIMU KWA KUJENGA SHULE KARIBU YAO

    June 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa