• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mwenyekiti Wa Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyela Awahamasisha Wananchi Ujenzi Wa Shule Ya Sekondari

Imewekwa Kwenye: September 19th, 2023


Akiongea na Wananchi wa kata ya Muungano leo tarehe 19/09/2023, Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Katule G. Kingamkono amesema,

Amepata faraja kuona wananchi wengi wamejitokeza katika mkutano, Hii inaonyesha ushirikiano uliopo baina ya wananchi na viongozi.

Pia ametoa salamu za Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia suluhu Hassan kwamba anawapenda wananchi wa kata ya Muungano.

Aidha amewataka wanaMuungano kuendelea kuungana na kuachana na malumbano ili wafanye maendeleo. Amewapongeza wana Muungano kwa kushirikiana katika kufanya maendeleo.

Pamoja na hayo amesema atakaeikoa kata ya Muungano ni wanaMuungano wenyewe,Pia amesema, hakuna Serikali ambayo inamuuacha mwananchi wake ataabike, hivyo mnapoanza kujenga, kujitoa na kushikamana ili kujenga shule ya Sekondari, Serikali itawaona kwa kujitoa kwenu ili kufanikishaa jambo jema mlilolianza la ujenzi wa sekondari.

" Ili mradi huu uwende na spidi Mtendaji wa kata ni lazima utoe taarifa ya mapato na matumizi kwa kila mwezi, na wananchi wakikosa amani hautaweza kuwasimamia". amesema Mhe. Katule.

Awali Mtendaji wa kata ya Muungano ndugu Rashidi Mwalupembe amesema,  wananchi wa kata  ya Muungano wameamua kujenga shule ya sekondari, itakayoitwa Ipande Mashariki, na hadi sasa wananchi wamechangia Shs. 7,687500/=.

Nae Mhe. diwani wa kata ya Muungano Mhe. Lugano Mwammbete Amemshukuru Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri kwa kuacha shughuli zake na kuongea na wananchi wa kata ya Muunguno, amesema wananchi hawa wameamua kujenga shule yao, kwa sababu, wanafunzi kutoka kata ya Muungano kwenda kata jirani ya Ipande ilipo shule ya Sekondari ni km 2.

Ambapo wakati wa masika njia hazipitiki, Pia wanafunzi kutoka kata ya Muungano kwenda kata jirani ya Nkokwa ni km 7 ambako ni mbali zaidi.

Hivyo wanafunzi wanapata taabu sana kwenda kuoata huduma ya elimu ya Sekondari kutokana na hilo, wananchi wameamua kujenga shule yao ya Sekondari.

Mwenyekiti wa Halamshauri ya wilaya ya Kyela Mhe. Katule G. Kingamkono, amewahamasisha wananchi hao kwa kuwachangia mifuko 20 ya simenti ili kuanza ujenzi huo.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • DED KYELA AFANYA KIKAO NA WATENDAJI KATA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA UTENDAJI KAZI NA USIMAMIZI WA SHUGHULI ZA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA

    April 10, 2025
  • DC KYELA AWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM KUANZIA JULAI HADI DESEMBA 2024

    March 29, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA JENGO LA MAMA NA MTOTO KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YA KYELA

    March 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa