• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mwenyekiti Wa Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyela Awahamasisha Wananchi Ujenzi Wa Shule Ya Sekondari

Imewekwa Kwenye: September 19th, 2023


Akiongea na Wananchi wa kata ya Muungano leo tarehe 19/09/2023, Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Katule G. Kingamkono amesema,

Amepata faraja kuona wananchi wengi wamejitokeza katika mkutano, Hii inaonyesha ushirikiano uliopo baina ya wananchi na viongozi.

Pia ametoa salamu za Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia suluhu Hassan kwamba anawapenda wananchi wa kata ya Muungano.

Aidha amewataka wanaMuungano kuendelea kuungana na kuachana na malumbano ili wafanye maendeleo. Amewapongeza wana Muungano kwa kushirikiana katika kufanya maendeleo.

Pamoja na hayo amesema atakaeikoa kata ya Muungano ni wanaMuungano wenyewe,Pia amesema, hakuna Serikali ambayo inamuuacha mwananchi wake ataabike, hivyo mnapoanza kujenga, kujitoa na kushikamana ili kujenga shule ya Sekondari, Serikali itawaona kwa kujitoa kwenu ili kufanikishaa jambo jema mlilolianza la ujenzi wa sekondari.

" Ili mradi huu uwende na spidi Mtendaji wa kata ni lazima utoe taarifa ya mapato na matumizi kwa kila mwezi, na wananchi wakikosa amani hautaweza kuwasimamia". amesema Mhe. Katule.

Awali Mtendaji wa kata ya Muungano ndugu Rashidi Mwalupembe amesema,  wananchi wa kata  ya Muungano wameamua kujenga shule ya sekondari, itakayoitwa Ipande Mashariki, na hadi sasa wananchi wamechangia Shs. 7,687500/=.

Nae Mhe. diwani wa kata ya Muungano Mhe. Lugano Mwammbete Amemshukuru Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri kwa kuacha shughuli zake na kuongea na wananchi wa kata ya Muunguno, amesema wananchi hawa wameamua kujenga shule yao, kwa sababu, wanafunzi kutoka kata ya Muungano kwenda kata jirani ya Ipande ilipo shule ya Sekondari ni km 2.

Ambapo wakati wa masika njia hazipitiki, Pia wanafunzi kutoka kata ya Muungano kwenda kata jirani ya Nkokwa ni km 7 ambako ni mbali zaidi.

Hivyo wanafunzi wanapata taabu sana kwenda kuoata huduma ya elimu ya Sekondari kutokana na hilo, wananchi wameamua kujenga shule yao ya Sekondari.

Mwenyekiti wa Halamshauri ya wilaya ya Kyela Mhe. Katule G. Kingamkono, amewahamasisha wananchi hao kwa kuwachangia mifuko 20 ya simenti ili kuanza ujenzi huo.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA December 01, 2022
  • Matokeo Kidato Cha Nne Mwaka 2022 January 29, 2023
  • Orodha Ya Majina Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Tano Na Vyuo Vya Kati 2020 June 17, 2020
  • Orodha Ya Majina Ya Walioteuliwa Kuwa Wasimamizi Na Makarani Waongozaji Katika Uchaguzi Mkuu October 28th 2020 October 19, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Miti 70,000 Yapandwa Katika Maadhimisho Ya Miaka 62 Ya Uhuru Wa Tanzania Bara Wilayani Kyela

    December 08, 2023
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Mhe. Josephine Manase Azindua Zoezi La Ugawaji Wa Vitambulisho Vya Uraia Wilayani Kyela

    December 08, 2023
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Mhe. Josephine Manase Azindua Zoezi La Ugawaji Wa Vitambulisho Vya Uraia Wilayani Kyela

    December 08, 2023
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Mhe. Josephine Manase Azindua Zoezi La Ugawaji Wa Vitambulisho Vya Uraia Wilayani Kyela

    December 08, 2023
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA UJENZI WA MADARASA
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa