• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI YAWAPUNGUZIA WANANCHI ADHA YA ELIMU KWA KUJENGA SHULE KARIBU YAO

Imewekwa Kwenye: June 27th, 2025

SERIKALI YAWAPUNGUZIA WANANCHI ADHA YA ELIMU KWA KUJENGA SHULE KARIBU YAO

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuonyesha dhamira ya dhati katika kuinua sekta ya elimu nchini kwa kujenga Shule ya Sekondari Ibanda kwa gharama ya Shilingi milioni 582. Ujenzi wa shule hiyo umeleta matumaini mapya kwa wakazi wa eneo la Ibanda na maeneo ya jirani, ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakikumbana na changamoto ya umbali mrefu wa kufuata elimu ya sekondari.

Kabla ya kujengwa kwa shule hiyo, wanafunzi walilazimika kusafiri zaidi ya kilomita 9 kila siku kwenda Shule ya Sekondari Itope. Safari hiyo ilikuwa kikwazo kikubwa kwa watoto wengi, hasa wasichana, na mara kadhaa ilisababisha utoro, uchovu, na kushuka kwa ufaulu. Kupitia shule hii mpya, changamoto hizo sasa zimepatiwa suluhisho la kudumu, na wazazi wameanza kuona mwanga wa matumaini kwa watoto wao.

Shule ya Sekondari Ibanda ina miundombinu ya kisasa inayoendana na mahitaji ya elimu ya leo. Ina jumla ya madarasa 8 yaliyokamilika kwa viwango vya juu, jengo la maktaba litakalowasaidia wanafunzi kupanua maarifa yao, pamoja na jengo la Tehama kwa ajili ya kukuza ujuzi wa teknolojia. Pia kuna ofisi mbili za walimu zinazowezesha shughuli za kiutawala kufanyika kwa ufanisi zaidi.

Kwa upande wa huduma za kijamii na usafi wa mazingira, shule hiyo ina matundu 10 ya vyoo matano kwa wavulana na matano kwa wasichana yaliyojengwa kwa kuzingatia viwango vya kiafya na usalama. Miundombinu hii yote inadhihirisha dhamira ya serikali sio tu ya kuongeza upatikanaji wa elimu, bali pia kuhakikisha mazingira bora na rafiki kwa mtoto wa Kitanzania kujifunzia.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAWAPUNGUZIA WANANCHI ADHA YA ELIMU KWA KUJENGA SHULE KARIBU YAO

    June 27, 2025
  • MAPATO YA NDANI YAIWEZESHA KYELA KUNUNUA MTAMBO WA KISASA WA KUTENGENEZEA BARABARA

    June 22, 2025
  • MKUU WA MKOA MBEYA MHE. DKT. JUMA ZUBERI HOMERA AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA KWA KUFIKISHA BILIONI 8.7 SAWA NA ASILIMIA 125% KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 17, 2025
  • MAADHIMISHO YA MTOTO WA AFRIKA YAFANA WILAYANI KYELA

    June 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa