Imewekwa Kwenye: July 15th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Kyela Mhe. Josphine Manase amefanya ziara ya kusikiliza na kutatua kero za Wananchi katika vijiji vya Masebe One na Bwato leo tarehe 15.07.2025, ambapo ametoa maelekezo na ushauri mb...
Imewekwa Kwenye: July 14th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Kyela, Mhe. Josephine Manase, ameendelea na ziara yake ya kusikiliza na kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wa Wilaya Kyela, ambapo leo tarehe 14.07.2025 amefika katika Kijiji...
Imewekwa Kwenye: July 12th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Kyela Mhe.Josephine Manase amefanya ziara ya kusikiliza na kutatua kero za Wananchi wa Kata ya Bujonde Kijiji cha Isanga tarehe.11.7.2025.
Miongoni mwa kero zilizoongelewa ni kama...