• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kyela District Council
Kyela District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kyela District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Health1
      • Secondary Education
      • Agriculture
      • Admin and Human Resource
      • Planning, Statistics and monitoring
      • Land and Natural Resource
      • Community Development and Social Welfare
      • Finance
      • Water Servises
      • Environment and Sanitation
      • Primary Education
      • Livestock and Fisheries
    • Units
      • Internal Audit Unit
      • Trade and Industry
      • Legal Unit
      • Procurement Unit
      • ICT
  • Investiment
    • Tourist Attraction
    • Agriculture
    • Livestock
  • Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fisheries
  • Coucilors
    • Councilors List
    • Standing Committe
      • Finance, Planning and Adminstration
      • HIV/AIDS
      • Environment, works and Economics
    • Time table
  • Projects
    • Planned New Project
      • Ongoing Project
    • Ongoing Project
    • Completed Projects
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery

Vijana 185 Wahitimu Mafunzo Ya Mgambo Kyela

Posted on: November 29th, 2020

Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe.Claudia U. Kitta(katikati)akiwa na viongozi wengine pamoja na vijana waliohitimu mafunzo ya mgambo katika picha ya pamoja tarehe 28/11/2020.

Vijana 185 kati ya vijana 208 waliojiunga na mafunzo ya mgambo, hapa wilayani Kyela wamehitimu mafunzo yao tarehe 28/11/2020 katika sherehe za ufangaji mafunzo zilizofanyika katika kata ya Mababu hapa wilayani Kyela, Ikiwa ni pamoja na wanafunzi 23 wameshindwa kuhitimu kwa sababu mbalimbali ikiwemo utoro. 

Akifunga mafunzo hayo yaliyoanza tarehe 20/07/2020 na kumalizika tarehe 28/11/2028, Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Claudia U. Kitta amewataka vijana hao kutumia elimu walioipata katika kujitafutia maisha bora, kwani msingi wa mafanikio duniani ni kufanya kazi kwa bidii na maarifa. 

Aidha amewataka vijana kuachana na visingizio kuwa hakuna ajira, wakati serikali imetengeza miundo mbinu wezeshi katika kufanya shughuli za kujiajiri. Amesema uwepo wa barabara za rami, meli za mizigo na abiria ni fulsa tosha ya vijana kujiajiri wenyewe, huku ajira za serikali zikiendelea kutolewa. 

Aidha amesema, Serikali haijawasahau vijana hata kidogo kwani imeagiza kila halmashauri nchini kutenga 10% ya mapato kwa makundi ya wanawake, walemavu na vijana, ambapo 4% ya asilimia hizo imetengwa kwa vijana. Cha kufanya ni vijana kujitambua na kujiunga katika vikundi na kupata mkopo huo. 

Mkuu wa wilaya alitoa pongezi kwa vijana waliomaliza mafunzo yao, kwani wakiwa katika mafunzo hayo, vijana hao waliweza kujifunza mambo mengi ikiwemo ukakamavu, kuepukana na vitendo vya rushwa, kutoa huduma ya kwanza mbinu za kivita pamoja na ujasiliamari.

Pia waliweza  kufanya kazi za kijamii ikiwemo kufanya usafi wa mazingira, kujitolea damu pamoja na kuhakikisha amani inapatikana katika kipindi chote cha uchaguzi.

Kwa upande wao wahitimu wa mafunzo ya mgambo, walisema katika mafunzo yao walipata changamoto ya mavazi, Na pia walimwomba mkuu wa wilaya kuwambuka pale zinapojitokeza kazi ili wao wawe mstari wa mbele kwani wapo tayari wakati wowote kwa ujenzi wa Taifa. 

Announcements

  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Kwanza 2021 Kyela December 19, 2020
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 16, 2020
  • Orodha Ya Majina Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Tano Na Vyuo Vya Kati 2020 June 17, 2020
  • Orodha Ya Majina Ya Walioteuliwa Kuwa Wasimamizi Na Makarani Waongozaji Katika Uchaguzi Mkuu October 28th 2020 October 19, 2020
  • View All

Latest News

  • Serikali Ya Gharamia Zaidi Ya Shilingi Bilioni tatu (3,000,000,000) Kujenga Mradi Wa Maji Kyela

    January 02, 2021
  • Mheshimiwa Mwenyekiti Wa Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyela Afanya Ziara Katika Ujenzi Wa Vyumba Vya Madarasa

    December 29, 2020
  • Hizi Pesa Ni Zenu Wananchi-Claudia U. Kitta

    December 17, 2020
  • Mheshimiwa Mbunge Wa Jimbo La Kyela Afanya Kikao Na Watumishi

    December 15, 2020
  • View All

Video

RAIS MAGUFULI AKIWA SONGEA
More Videos

Quick Links

  • Mbeya Region Website

Related Links

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • facebook

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Bomani Street

    Postal Address: P. O box 320 Kyela

    Telephone: 025-2540035/7

    Mobile: 0756944794

    Email: ded@kyeladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Kyela District Council . All rights reserved.