Utangulizi
Kitengo cha Sheria kinatekeleza majukumu yake ambayo yameainishwa kwenye Muundo wa Utumishi wa Umma kama unavyorekebishwa mara kwa mara, pamoja na mpango kazi wa kila mwaka.
Pia kitengo cha sheria kinatekeleza maagizo mbalimbali yanatolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri na Serikali kwa ujumla.
Watumishi katika kitengo cha sheria
Kwa sasa katika Kitengo cha Sheria kuna afisa Sheria Mmoja ambaye anatekeleza majukumu yote katika kitengo cha sheria.
Majukumu.
Mabaraza ya kata ya Halmashauri ya Wilaya ya kyela
Kitengo cha Sheria kinatekeleza majukumu yake ambayo yameainishwa kwenye Muundo wa Utumishi yakiwa ni pamoja na Kusimamia Mabaraza ya Kata kwa kutoa miongozo ya namna ya kuzingatia sheria pamoja na kufatilia mawasilisho ya shilingi 3000 kila mwezi.
Idadi ya Mabaraza ya Kata.
1
|
Baraza la kata la Kyela Mjini
|
|
2
|
Baraza la Kata la Itope
|
|
3
|
Baraza la kata la Ikama
|
|
4
|
Baraza la kata la Katumba songwe
|
|
5
|
Baraza la kata la Ngana
|
|
6
|
Baraza la kata la Ikolo
|
|
7
|
Baraza la kata la Ipinda
|
|
8
|
Baraza la kata la Bujonde
Baraza la kata la Matema |
|
10
|
Baraza la kata la makwale
|
|
11
|
Baraza la kata la Kajunjumele
|
|
12
|
Baraza la kata la Talatala
|
|
13
|
Baraza la kata la Mababu
|
|
14
|
Baraza la kata la Ipande
|
|
15
|
Baraza la kata la Ngonga
|
|
16
|
Baraza la Kata la Muungano
|
|
17
|
Baraza la kata la Busale
|
|
18
|
Baraza la Kata la Mwaya
|
|
19
|
Baraza la kata la Ikimba
|
|
20
|
Baraza la kata la Nkokwa
|
|
Bomani Street
Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela
Simu ya Mezani: 025-2540035/7
Simu ya Mkononi: 0713655466
Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz
Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa