• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Zaidi Ya Miti 12,000 inatarajiwa Kupandwa Kuelekea Wa Maadhimisho Ya Siku Ya Miaka 60 Ya Muungano

Imewekwa Kwenye: April 23rd, 2024

Kuelekea katika Maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanzania Mkuu wa wilaya ya Kyela, Mhe. Josephine Manase ameungana na wananchi katika zoezi la upandaji wa miti, katika kituo cha Afya cha Njisi, Kata ya Njisi, leo tarehe 23.04.2024. Ikiwa ni muendelezo wa maadhimisho ya Muungano wa Tanzania.

Aidha Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Manase amewataka wananchi wa Kyela, kuenzi na kudumisha Muungano huo kwa amani ili tuendelee kuishi kwa upendo.

Lakini pia Mhe. Manase Amewasisitiza wananchi, kuwaombea viongozi wetu ambao ni Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa   Dkt. Samia Suluhu na Mwenyekiti wa Mapinduzi Zanzibar Mhe. Rais. Dkt. Hussein Ally Hassan Mwinyi kwani wanafanya kazi kubwa za kuleta maendeleo kwa wananchi.

Vilevile Mhe. Manase ametumia fursa hiyo kumshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kuiongoza vyema nchi yetu, katika hali ya amani na utulivu, Mhe. Manase ameendelea kwa kusema kuwa kuna baadhi ya nchi zimeshindwa kudumisha amani na Muungano hivyo kuifanyia Tanzania kuwa mfano wa kuigwa Duniani.

Mwisho Mhe. Josephine Manase amewataka wananchi kuurithisha Muungano wetu na amani kwa vizazi vyetu.

Miti 220 imepandwa leo, Wakati halmashauri ya wilaya ya Kyela inatarajia kupanda miti zaidi ya 12,000 hadi kufikia kilele cha maadhimisho ya siku ya Muungano wa Tanzania.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa