• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Mheshimiwa Ismail Mlawa Anogesha Bonanza La UVIKO 19 Kyela

Imewekwa Kwenye: October 3rd, 2021

Katika jambo lisilotarajiwa Mkuu wa wilaya ya Kyela Mheshimiwa Ismail Mlawa, atinga kwa kushtukiza katika viwanja vya Mwakangale hapa wilayani Kyela, ambapo vituo viwili vya redio vya hapa wilayani, redio ya  Kyela FM na Keifo FM, kwa kushirikiana na halmashauri ya wilaya, waliandaa tamasha la UVIKO 19. Tamasha lilifanyika tarehe 02/10/2021, likiwa na lengo la kuhamasisha wananchi dhidi ya chanjo ya ugonjwa wa CORONA.

Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Ismail Mlawa(mwenye kofia), akiwa katikati ya wananchi akitazama mpira katika bonanza la UVIKO 19.

Aidha Mkuu wa wilaya ya Kyela alitumia nafasi hiyo kutoa hamasa kwa wananchi kuchanja chanjo ya UVIKO 19, alisema wananchi wajitokeze kuchanja ili kijilinda na ugonjwa huu hatari ambao umechukua watu wengi duniani, na aliwapongeza waandaji wa Bonanza hilo, kwani lilishirikisha huduma za uchanjaji chanzo hapo hapo uwanjani.

Pia Mheshimiwa Mkuu wa wilaya aliweza kutoa kiasi cha shilingi 200,000/= kwa timu ya Kyela Princes, shilingi 100,000/= kwa timu ya Ngonga Princes ahadi aliyowahadi kuwapa ili kuziendeleza timu hizo za mpira wa miguu kwa wanawake.

Michezo ya Ngoma za asili, mpira wa miguu kwa wanaume na mpira wa miguu kwa wanawake, burudani za mziki zilifanyika pamoja na elimu dhidi ya ugonjwa wa CORONA ilitolewa kupitia Idara ya Afya, yote haya yalifanyika kwa lengo la kutoa hamasa kwa  wananchi kuchanja.

Hamasa dhidi ya chanjo ya UVIKO 19, imesaidia sana wananchi wa Kyela kuamka na kuchanja, kwani kila siku idadi ya wananchi kuchanja imekuwa ikiongezeka kwa kasi.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATAALAM WA AFYA KUTOKA MALAWI WAFANYA KIKAO NA WATAALAM WA AFYA KUTOKA KYELA KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO

    July 02, 2025
  • BIDHAA FEKI ZILIZOINGIA KWA NJIA HARAMU ZATEKETEZWA KWA MOTO

    July 01, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • SERIKALI YAWAPUNGUZIA WANANCHI ADHA YA ELIMU KWA KUJENGA SHULE KARIBU YAO

    June 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa