• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WATAALAM WA AFYA KUTOKA MALAWI WAFANYA KIKAO NA WATAALAM WA AFYA KUTOKA KYELA KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO

Imewekwa Kwenye: July 2nd, 2025

Wataalamu wa Idara ya Afya kutoka Malawi na Wataalam wa Afya kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kyela kwa kushirikiana na taasisi ya Amref Health Africa nchini Malawi, wamefanya mkutano wa pamoja(cross border meeting) uliofanyika tarehe 02.07.2025 katika ukumbi wa Palazzo, kata ya Matema, wilayani Kyela. 

Lengo kuu la mkutano huo ni kuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania na Malawi katika mapambano dhidi ya magonjwa hatari ya mlipuko yanayoathiri nchi zote mbili, hasa maeneo ya mipakani. Washiriki waliangazia umuhimu wa kuwa na mifumo imara ya ufuatiliaji na udhibiti wa milipuko kabla haijasambaa kwa kasi.

Mkuu wa Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe Wilaya ya Kyela, Dkt. Saumu Kumbisaga, alitoa shukrani kwa Amref Health Africa kwa kushiriki na kuchangia kwa kiasi kikubwa kufanikisha mkutano huo muhimu.

Dkt. Kumbisaga pia aliwapongeza washiriki wa mkutano kwa kutoa maoni yenye tija ambayo, kwa pamoja, yatawezesha upatikanaji wa suluhu za kujikinga na kudhibiti magonjwa ya mlipuko, hasa kwa jamii zinazokaa maeneo ya mipakani.

Kwa upande mwingine, Afisa Afya  Mazingira wa Wilaya ya Karonga nchini Malawi, Ndg. Owner Nguhube, alitoa shukrani kwa niaba ya wataalamu kutoka Malawi. Alisifu ukarimu wa uongozi wa Tanzania, hasa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela, kwa mapokezi mazuri na ushirikiano waliouonyesha.

Ndg. Nguhube alieleza kuwa mkutano huo ni jukwaa muhimu la kubadilishana uzoefu na kujifunza mbinu mbalimbali za kisayansi na kijamii zitakazosaidia kuzuia magonjwa ya mlipuko pande zote mbili za mpaka wa Malawi na Tanzania.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATAALAM WA AFYA KUTOKA MALAWI WAFANYA KIKAO NA WATAALAM WA AFYA KUTOKA KYELA KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO

    July 02, 2025
  • BIDHAA FEKI ZILIZOINGIA KWA NJIA HARAMU ZATEKETEZWA KWA MOTO

    July 01, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • SERIKALI YAWAPUNGUZIA WANANCHI ADHA YA ELIMU KWA KUJENGA SHULE KARIBU YAO

    June 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa