• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

BIDHAA FEKI ZILIZOINGIA KWA NJIA HARAMU ZATEKETEZWA KWA MOTO

Imewekwa Kwenye: July 1st, 2025

Katika hatua ya kuhakikisha usalama wa afya za wananchi na kudhibiti biashara haramu mipakani, Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Kyela, Bw. Audas Temba ameongoza zoezi la uteketezaji wa bidhaa mbalimbali haramu zilizokamatwa zikiingizwa nchini kutoka nchi jirani ya Malawi kwa njia ya magendo. Bidhaa hizo ni pamoja na nguo za ndani za mitumba, pombe kali zenye kiwango kikubwa cha alcohol, na bidhaa nyingine zilizokwisha muda wake wa matumizi (expire), ambazo kwa mujibu wa mamlaka, ni hatari kwa afya ya binadamu.

Zoezi hilo lilifanyika leo tarehe 30.06.2025  Kata ya Ngana katika eneo maalum lililoandaliwa kwa ajili ya kuteketeza bidhaa hizo na kuhudhuriwa na Maafisa wa forodha ya mpaka wa Malawi na Tanzania, Wataalam kutoka Ofisi ya Mkurugenzi, Kamati ya ulinzi na usalama, . 

Bw. Kessy Temba alitoa wito kwa wananchi wa Kyela na maeneo ya mpakani kuwa walinzi wa kwanza wa usalama wa afya zao na uchumi wa taifa kwa kutoa taarifa kwa mamlaka husika pindi wanapobaini harakati za biashara za magendo. 

Akizungumza katika tukio hilo, Afisa Forodha wa mpakani mwa Malawi, Bw. Alex Getau alisema kuwa moja ya sababu kuu za kuteketeza bidhaa hizo ni kuzuia madhara makubwa yanayoweza kujitokeza kwa wananchi endapo bidhaa hizo zingeingia sokoni. Alisema baadhi ya bidhaa zenye madhara makubwa kama pombe kali zenye viwango vya juu vya alcohol, vinaweza kusababisha athari za kiafya ikiwemo matatizo ya ini, figo na hata vifo vya ghafla kwa watumiaji.

Bw. Getau aliongeza kuwa hatua hiyo pia inalenga kukomesha tabia ya wafanyabiashara wachache wasiowaaminifu wanaoingiza bidhaa nchini kwa njia za panya, hali inayosababisha kuharibu soko la bidhaa halali zinazouzwa na wafanyabiashara waaminifu.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO AONGOZA MCHAKATO WAKUMPATA MAKAMU MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO NA WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU

    October 01, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI ADV. FLORAH A. LUHALA AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MAPATO YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    September 30, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA, MHE. JOSEPHINE MANASE, AMEKABIDHI HUNDI YA MFANO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA SITA HAMSINI NA TATU LAKI SITA (653,600,000/=) KWA VIKUNDI 70 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    September 22, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA AFUNGA MAONESHO YA KUSINI INTERNATIONAL TRADE FAIR AND FESTIVAL YA MWAKA 2025

    September 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa