• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kyela District Council
Kyela District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kyela District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Health1
      • Secondary Education
      • Agriculture
      • Admin and Human Resource
      • Planning, Statistics and monitoring
      • Land and Natural Resource
      • Community Development and Social Welfare
      • Finance
      • Water Servises
      • Environment and Sanitation
      • Primary Education
      • Livestock and Fisheries
    • Units
      • Internal Audit Unit
      • Trade and Industry
      • Legal Unit
      • Procurement Unit
      • ICT
  • Investiment
    • Tourist Attraction
    • Agriculture
    • Livestock
  • Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fisheries
  • Coucilors
    • Councilors List
    • Standing Committe
      • Finance, Planning and Adminstration
      • HIV/AIDS
      • Environment, works and Economics
    • Time table
  • Projects
    • Planned New Project
      • Ongoing Project
    • Ongoing Project
    • Completed Projects
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery

Health services

 IDARA YA AFYA

Majukumu ya Idara ya Afya ni kama ifuatavyo:-

ENEO
HALI  ILIVYO
CHANGAMOTO
Idadi ya Vituo Vya kutolea Huduma
Halmashauri ina Vituo 50 vya kutolea huduma za Afya, kati ya hivyo Hospitali 3, Kituo cha Afya 1, kliniki  (2). Kati ya vituo hivi, 30 vinamilikiwa na serikali, 3 vya mashirika ya dini, 10 vya watu binafsi na 1 shirika la umma (Kiwira Coal Mine).
Vituo vya kutolea huduma bado  havina watoa huduma  wa kutosha kuna baadhi ya vituo wapo (2) na vituo vya kutolea huduma havitoshi katika wilaya.
Watumishi
Idara ya Afya unauhitaji wa watumishi 579 kwa mujibu wa ikama,na kwa sasa watumishi waliopo ni 371 sawa na asilimia 64%.na ina upungufu ya watumishi 208 sawa asilimia 36% huo unazihusu kada zote za watumishi na kwa watumishi wenye ujuzi unaohitajika (Skilled staff).
Tunachangamoto kubwa na upungufu watumishi katika vituo vya kutolea huduma za afya.
Huduma za Wazee  zaid miaka 60 ,wajawazito na watoto chini ya miaka mitano.
Hadi kufikia 19,725 jumla ya wazee wametambuliwa na  wanaendelea kupatiwa huduma katika vituo vyote vya kutolea huduma kwa kutumia vitambulisho vyao bila usumbufu wa aina yeyote.
Kundi la wanaotibiwa kwa misamaha kuwa kubwa sana hivyo fedha inayochangiwa ndio inayotumika kuhudumia makundi maalum.
Mfuko wa Afya ya Jamii Ulioboreshwa(Ichf)
Halmasuri ya wilaya ina Jumla ya kaya 54,000 katika halmashuri 1033 zilizojiunga na ichf ni sawa na 1.9%
Changamoto wananchi hawajiungi na Ichf  iliyoboreshwa lakini uhamasishaji wa kujiinga unaendelea
Miradi ya Ujenzi
Miradi inayoendelea katika idara ya afya, ujenzi wa  Hospitali ya Wilaya, na zahanati sita (6) zipo kwenye  hatua maboma Kapamisya, kyangala, mwambusye, kasala, Isaki na kasumulu
Uhaba wa fedha za kumalizia maboma,uchakavu na ufinyu wa majengo katika hospitali ya wilaya.
Miradi ya Ujenzi
Miradi inayoendelea katika idara ya afya, ujenzi wa  Hospitali ya Wilaya, na zahanati sita (6) zipo kwenye  hatua maboma Kapamisya, kyangala, mwambusye, kasala, Isaki na kasumulu
Uhaba wa fedha za kumalizia maboma,uchakavu na ufinyu wa majengo katika hospitali ya wilaya.
Hali ya Dawa
Upatikanaji wa dawa kwa  robo ya tatu ni asilimia 97.5%
Kwa mwaka wa fedha   2020 /21Idara ilitegemea kupata  fedha kiasi cha  Tsh. 455,689,891/=kwa ajili ya dawa na vifaa tiba  toka  serikali kuu  lakini fedha hiyo hazijapokelewa mpaka sasa, hivyo ku hivyo kuathiri hali  upatikanaji wa dawa katika vituo.
 Makusanyo ya fedha za uchangiaji wa huduma katika zahanati na kituo cha afya.
Zahanati fedha ya uchangiaji ni shilingi 3000/= kituo cha afya ni shilingi 5000/=
Fedha hii ya uchangiaji ni ndogo hivyo kuathiri uendeshaji wa huduma vituoni.
Makusanyo kwa wiki kwa zahanati ni kiasi kisichozidi 50,000/= misamaha 2,000,000/= na kituo cha afya makusanyo kwa wiki ni  400,000/= na misamaha 1,100,000/=.  hospitali makusanyo kwa wiki ni  7,000,000/=,misamaha 4,000,000/=

Announcements

  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Kwanza 2021 Kyela December 19, 2020
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 16, 2020
  • Orodha Ya Majina Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Tano Na Vyuo Vya Kati 2020 June 17, 2020
  • Orodha Ya Majina Ya Walioteuliwa Kuwa Wasimamizi Na Makarani Waongozaji Katika Uchaguzi Mkuu October 28th 2020 October 19, 2020
  • View All

Latest News

  • Serikali Ya Gharamia Zaidi Ya Shilingi Bilioni tatu (3,000,000,000) Kujenga Mradi Wa Maji Kyela

    January 02, 2021
  • Mheshimiwa Mwenyekiti Wa Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyela Afanya Ziara Katika Ujenzi Wa Vyumba Vya Madarasa

    December 29, 2020
  • Hizi Pesa Ni Zenu Wananchi-Claudia U. Kitta

    December 17, 2020
  • Mheshimiwa Mbunge Wa Jimbo La Kyela Afanya Kikao Na Watumishi

    December 15, 2020
  • View All

Video

RAIS MAGUFULI AKIWA SONGEA
More Videos

Quick Links

  • Mbeya Region Website

Related Links

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • facebook

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Bomani Street

    Postal Address: P. O box 320 Kyela

    Telephone: 025-2540035/7

    Mobile: 0756944794

    Email: ded@kyeladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Kyela District Council . All rights reserved.