• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kyela District Council
Kyela District Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kyela District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Departments
      • Health1
      • Secondary Education
      • Agriculture
      • Admin and Human Resource
      • Planning, Statistics and monitoring
      • Land and Natural Resource
      • Community Development and Social Welfare
      • Finance
      • Water Servises
      • Environment and Sanitation
      • Primary Education
      • Livestock and Fisheries
    • Units
      • Internal Audit Unit
      • Trade and Industry
      • Legal Unit
      • Procurement Unit
      • ICT
  • Investiment
    • Tourist Attraction
    • Agriculture
    • Livestock
  • Service
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fisheries
  • Coucilors
    • Councilors List
    • Standing Committe
      • Finance, Planning and Adminstration
      • HIV/AIDS
      • Environment, works and Economics
    • Time table
  • Projects
    • Planned New Project
      • Ongoing Project
    • Ongoing Project
    • Completed Projects
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Forms
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery

Legal Unit

Utangulizi

Kitengo cha Sheria kinatekeleza majukumu yake ambayo yameainishwa kwenye Muundo wa Utumishi wa Umma kama unavyorekebishwa mara kwa mara, pamoja na mpango kazi wa kila mwaka.

Pia kitengo cha sheria kinatekeleza maagizo mbalimbali yanatolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri na Serikali kwa ujumla.

Watumishi katika kitengo cha sheria

Kwa  sasa katika Kitengo cha Sheria kuna afisa Sheria Mmoja ambaye anatekeleza majukumu yote katika kitengo cha sheria.

Majukumu. 

  • Mshauri mkuu wa Mkurugenzi Mtendaji kuhusina na maswala yote ya kisheria.
  • Kufanya utafiti na ushauri wa kisheria kwa idara mbalimbali za Halmashauri pale inapohitajika.
  • Kuratibu uendeshaji wa mashauri ya madai na usuluhishi Mahakamani au katika Mabaraza yanayohusu Halmashauri.
  • Kuhakikisha kwamba mikataba inayoingiwa na Halmashauri inakuwa na maslahi mazuri kwa Halmashauri.
  • Kuhakikisha kwamba Halmashauri inazingatia Utawala wa Sheria na inafanya uamuzi unaozingatia sheria katika vikao vya uamuzi.
  • Kuhakikisha utekelezaji wa maazimio ya vikao mbalimbali vya Halmashauri.
  • Kuandaa makisio ya mwaka, mpango wa manunuzi na mpango kazi wa Kitengo cha Sheria.
  • Kufanya utafiti wa masuala mbalimbali ya sheria pale atakapohitajika kufanya hivyo.
  • kushughulikia maswala ya uendeshaji wa mashauri Mahakamani na mikataba yote inayohitaji ushauri wa kisheria.
  • Kuandaa,kutunza na kuhuisha register ya mikataba yote inayoletwa kwa ajili ya kufanyiwa veting.
  • kuandaa,kutunza na kuhuisha register ya kesi za Halmashauri zilizoko Mahakamani.
  • kufungua mashauri Mahakamani na kutetea ambayo yamefunguliwa dhidi ya Halmashauri.
  • Kuandaa taarifa ya mwenendo wa mashauri kila mwezi kwa ajili ya kuwasilishwa kwenye kikao cha Menejimenti na Kamati ya Fedha.
  • kushughulikia masuala ya Sheria Ndogo za Halmashauri.
  • Kuandaa Sheria Ndogo mpya na marekebisho na kuziwasilisha katika ngazi husika kwa ajili ya kuidhinishwa.
  • kushughulikia masuala ya Sheria Ndogo za Vijiji,kuratibu utungaji waSheria Ndogo za Vijiji na kuhakikisha kila kijiji kinazingatia Utawala wa Sheria.
  • Kuandaa,kutunza na kuhuisha register ya sheria ndogo za Halmashauri na sheria ndogo za Vijiji.
  • Kusimamia Mabaraza ya Kata kwa kutoa miongozo ya namna ya kuzingatia sheria pamoja na kufatilia mawasilisho ya shilingi 3000 kila mwezi.

Mabaraza ya kata ya Halmashauri ya Wilaya ya kyela 

Kitengo cha Sheria kinatekeleza majukumu yake ambayo yameainishwa kwenye Muundo wa Utumishi yakiwa ni pamoja na Kusimamia Mabaraza ya Kata kwa kutoa miongozo ya namna ya kuzingatia sheria pamoja na kufatilia mawasilisho ya shilingi 3000 kila mwezi.

Idadi ya Mabaraza ya Kata.

1
Baraza la kata la Kyela Mjini
 
2
Baraza la Kata la Itope
 
3
Baraza la kata la Ikama
 
4
Baraza la kata la Katumba songwe
 
5
Baraza la kata la Ngana
 
6
Baraza la kata la Ikolo
 
7
Baraza la kata la Ipinda
 
8
Baraza la kata la Bujonde
Baraza la kata la Matema
 
10
Baraza la kata la makwale
 
11
Baraza la kata la Kajunjumele
 
12
Baraza la kata la Talatala
 
13
Baraza la kata la Mababu
 
14
Baraza la kata la Ipande
 
15
Baraza la kata la Ngonga
 
16
Baraza la Kata la Muungano
 
17
Baraza la kata la Busale
 
18
Baraza la Kata la Mwaya
 
19
Baraza la kata la Ikimba
 
20
Baraza la kata la Nkokwa
 

 


Announcements

  • Ajira Tena (BVR) November 25, 2019
  • Makadilio Ya Bajeti Ya Mapato Na Matumizi Ya Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyela 2018/2019 October 15, 2018
  • Nafasi Za Kazi March 01, 2019
  • Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili WA Nafasi Zach kazi April 05, 2019
  • View All

Latest News

  • Tusikilize,Tuyaelewe Yote Tujifunzayo -Polycap Ntapanya

    November 29, 2019
  • Mheshimiwa Diwani Wa Kata Ya Mwaya Afariki Dunia Kyela

    October 30, 2019
  • Acheni Uvuvi Haramu-Luaga Joelson Mpina

    October 27, 2019
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Asikiliza Kero Kwa Wananchi WA Kata Ya Matema

    October 21, 2019
  • View All

Video

RAIS MAGUFULI AKIWA SONGEA
More Videos

Quick Links

  • Mbeya Region Website

Related Links

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • facebook

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Bomani Street

    Postal Address: P. O box 320 Kyela

    Telephone: 025-2540035/7

    Mobile: 0767563310

    Email: ded@kyeladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2017 Kyela District Council . All rights reserved.