• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI WA KIJIJI CHA ISANGA WAPATA FARAJA KWA KUUNGWA MKONO NA MHE. DC MANASE KWA UANZISHWAJI WA UJENZI WA ZAHANATI

Imewekwa Kwenye: July 12th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kyela Mhe.Josephine Manase amefanya ziara ya kusikiliza na kutatua kero za Wananchi wa Kata ya Bujonde Kijiji cha Isanga tarehe.11.7.2025.

Miongoni mwa kero zilizoongelewa ni kama kushuka kwa bei ya Kokoa,utoro wa Wanafunzi,ushuru kwa wakulima, na michango mashuleni.

Akizungumzia suala la michango mashuleni Mhe Mkuu wa Wilaya amesema Serikali inatoa Elimu bure hivyo ni jukumu la Wazazi kutoa mchango wa chakula na endapo kutakua na michango mingine tofauti ni lazima kuwe  na makubaliano baina ya Walimu na Wazazi juu ya mchango huo.

Mkuu wa Wilaya amewataka Wazazi wenye watoto wanaosoma kuwa karibu na Watoto wao ili kubaini changamoto mbalimbali zinazowasababishia  Wanafunzi utoro na kukatisha masomo yao.

Mhe. Manase amewapongeza Wananchi wa Kijiji cha Isanga kwa jitihada za  ujenzi wa zahanati ambayo ipo hatua ya Msingi, pia Mhe. Mkuu wa Wilaya ametoa Tsh 1,500,000 ambapo  Tsh Laki  tano (500,000)  itatoka ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Tsh Million 1 (1,000,000) itatoka kwenye Mfuko wa Kokoa ikiwa ni kuunga mkono juhudi za Wananchi katika ujenzi wa zahanati mpya ya Isanga.

Kuhusiana na changamoto ya kushuka kwa bei ya Kokoa,Mhe. Manase amevitaka vyama vya msingi (AMCOS) kutangaza bei mpya ya kokoa inayotolewa kwenye mnada wa mwisho unaofanyika kila wiki siku ya jumatatu  ili wakulima  waweze kujua bei halali itakayowasadia kuondokana na bei za mtaani.

Katika msimu huu wa mavuno Mhe.Manase amewahimiza  Watendaji wa Kata kupatikana kirahisi kwenye maeneo yao ya kazi ili waweze kutoa vibali vitakavyowaondolea usumbufu wakulima pindi wanaposafirisha mazao yao.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO AONGOZA MCHAKATO WAKUMPATA MAKAMU MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO NA WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU

    October 01, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI ADV. FLORAH A. LUHALA AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MAPATO YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    September 30, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA, MHE. JOSEPHINE MANASE, AMEKABIDHI HUNDI YA MFANO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA SITA HAMSINI NA TATU LAKI SITA (653,600,000/=) KWA VIKUNDI 70 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    September 22, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA AFUNGA MAONESHO YA KUSINI INTERNATIONAL TRADE FAIR AND FESTIVAL YA MWAKA 2025

    September 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa