• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TSH. MILLIONI TANO (5) KUTOKA MFUKO WA ZAO LA KAKAO KUSAIDIA UANZISHWAJI WA UJENZI WA SHULE MPYA YA MSINGI KIJIJI CHA MPEGERE KATA YA MAKWALE

Imewekwa Kwenye: July 10th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kyela Mhe.Josephine Manase amefanya ziara ya kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za Wananchi wa Kata ya Makwale Kijiji cha Mpegere Tarehe 9.7.2025.

Miongoni mwa kero zilizoongelewa na Wananchi wa kijiji cha Mpegere ni pamoja na Gharama za matibabu kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya,ushuru wa kusafirisha mazao na kukosekana kwa Shule ya Msingi.

Akitatua kero ya gharama za  Matibabu Mhe.Mkuu wa Wilaya ameuagiza uongozi wa Kijiji kuorodhesha majina ya familia ambazo ziko tayari kusajiliwa kwenye Bima ya iCHF ili Mratibu wa Bima ya Afya (iCHF) kutoka Hospital ya Wilaya ya Kyela awafuate Wananchi kijijini kwa ajili ya kufanya usajili wa Bima.

Bima hiyo ya iCHF  inatolewa kwa Tsh. Elfu 30 kwa familia yenye watu 6 yaani Baba, Mama na Watoto wanne,

pia na makundi mbalimbali  mfano Bodaboda wao wanakuwa watu 5 Mmoja anakuwa mkuu wa Kaya.Ambapo Bima hiyo ya Familia inatumika Kwa Mwaka Mmoja.

Kuhusu kero ya ushuru wa usafirishaji wa mazao kwa wakulima  kutoka nyumbani na  kupeleka kwenye Maghala Mhe.Josephine Manase ameuagiza uongozi wa Vijiji na Kata kutoka vibali vya utambulisho Kwa wepesi Kwa wananchi ambao wamevuna mazao yao na  wanapeleka kwenye Maghala Kwa ajili ya kuhifadhi ili kuondolea usumbufu wakulima wanaokusudia kuhifadhi chakukula Kwa ajili ya matumizi ya baadae.

Aidha Mhe.Mkuu wa Wilaya amewapongeza Wananchi wa Kijiji cha Mpegere kwa jitihada za uchangiaji wa Tsh. Milioni 16 na laki 2 kwa ajili ya kuanzisha ujenzi wa Shule ya Msingi Mpegere, pia Mhe; Mkuu wa Wilaya amemuagiza Mkurugenzi Myendaji wa Wilaya ya Kyela kupeleka  Tsh, Million 5 kutoka mfuko wa Kokoa kuunga mkono juhudi hizo za Wananchi kwenye ujenzi huo wa Shule Mpya.

Kuelekea katika kipindi cha uchaguzi Mkuu Mhe.Mkuu wa Wilaya amewataka Wananchi wa Mpegere kudumisha amani na upendo,kujiepusha na vitendo vya Rushwa ili waweze kuchagua viongozi bora watakaoweza kuwaongoza na kutatua changamoto zao.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO AONGOZA MCHAKATO WAKUMPATA MAKAMU MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO NA WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU

    October 01, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI ADV. FLORAH A. LUHALA AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MAPATO YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    September 30, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA, MHE. JOSEPHINE MANASE, AMEKABIDHI HUNDI YA MFANO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA SITA HAMSINI NA TATU LAKI SITA (653,600,000/=) KWA VIKUNDI 70 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    September 22, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA AFUNGA MAONESHO YA KUSINI INTERNATIONAL TRADE FAIR AND FESTIVAL YA MWAKA 2025

    September 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa