• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Tunatembelea Zahanati Ili Tujue Matatizo, Tuyatatue Pale Penye Uwekano Wa Kuyatatua-Ezekiel Magehema

Imewekwa Kwenye: February 3rd, 2020

Haya yamezungumzwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela, Ndugu Ezekiel Magehema alipokuwa katika ziara yake ya kikazi ya kutembelea vituo vya zahanati vya hapa wilayani, ziara aliyoianza tarehe 03/02/2020.

Amesema, anafanya ziara katika zahati zote atazoweza kutembelea yaani zahanati ambazo zimekamilika na ambazo hazijakamilika ili kujua matatizo yake kwa kuona, ili wanapopata fedha waweze kuzisaidia zahanati hizo hata kwa asilimia 50 kwa kuanzia.

Pia Mkurugenzi Mtendaji ndugu Ezekiel Magehema amesema, serikali imeleta shilingi milioni 200 katika zahanati ya Kilasilo, ili ziweze kufanya kazi ya kuipanua zahanati hiyo na kuwa kituo cha Afya. 

Akipita katika zahanati inayojengwa katika kijiji cha Isaki kata ya Katumba wilayani hapa, Mkurugenzi amewataka watendaji wa kijiji na mwenyekiti wa kijiji, kukazana kuwahimiza wanakijiji kuongeza kasi ya ujenzi wa zahanati yao kwani bati zipo ambazo zimetolewa na bandari. Hata hivyo mwenyekiti wa kijiji hicho alitoa shukrani kwa Mkurugenzi Mtendaji kwani yeye amekuwa ni kiongozi wa pili kufika katika kijiji hicho tangu uhuru. 

Mkurugenzi Mtendaji Ezekiel Magehema(mwenye suti nyeusi) akiwa katika ujenzi wa zahanati ya Isaki kijiji cha Isaki kata ya Katumbasongwe wilayani hapa. 

Akiwa katika ziara hiyo ndugu magehema alifanya ziara ya kushtukiza katika shule ya sekondari ya Katumbasongwe, ambapo aliwakuta walimu wakiendelea na kazi za ufundishajimadarasani,na alitoa pongezi kwa kazi nzuri.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela amepanga kufanya ziara mbalimbali ikiwemo ziara ya kutembelea shule za msingi na sekondari baada ya kumaliza ziara katika Idara ya Afya. 

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO AONGOZA MCHAKATO WAKUMPATA MAKAMU MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO NA WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU

    October 01, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI ADV. FLORAH A. LUHALA AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MAPATO YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    September 30, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA, MHE. JOSEPHINE MANASE, AMEKABIDHI HUNDI YA MFANO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA SITA HAMSINI NA TATU LAKI SITA (653,600,000/=) KWA VIKUNDI 70 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    September 22, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA AFUNGA MAONESHO YA KUSINI INTERNATIONAL TRADE FAIR AND FESTIVAL YA MWAKA 2025

    September 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa