• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Ziara Ya Waziri Wa Kilimo Mheshimiwa Japhet Hasunga

Sunday 1st, June 2025
@Kyela

YALIYOJILI KATIKA ZIARA YA MHE. WAZIRI WA KILIMO JAPHET HASUNGA AKIWA KYELA

Nimefurahi kusikia kuwa Kyela;

1.Hakuna upungufu wa chakula
Lakini hii ni kwasababu ya wakulima.
2.Mtu yeyote akibeze kilimo huyo tutampima akili.
3.Kunipongeza kwenu kutakuwa na maana Sana kama nitatekeleza  majukumu yangu vizuri.
4.Kwetu Mbozi hatujawahi kupata waziri, namshukuru Mhe. Rais kunichagua na kuifungua Mbozi
5.Wilaya ya Kyela inaaminika kwa msimamo
6.Kokoa bora Duniani inatoka Kyela
7.Kokoa ni almasi pia ni dhahabu itunzeni
8.Nitashangaa Mkurugenzi kama wewe ushindwe na Chunya kwa kilimo cha Korosho
9.Nitasimamia kuhakikisha zao la korosho mnada wake kuanza kufanyika Kyela
10.Fufueni zao lenu la Mpunga Kyela kwa mbegu za asili
11.Sitawasahau kuwaletea miche ya
Michikichi
12.Anzisheni kilimo cha mboga na matunda kwa maana Serikali ipo kwenye mpango wa kununua ndege ya mizigo  itakayokuwa ikitua Songwe, kwa ajiri ya kubeba mbogamboga na matunda kupeleka nje ya nchi, tuitumie fulsa hii.
13.Kiongozi wa Chama Cha Mapinduzi akipinga ushirika nitamshangaa Sana maana hiyo ndio Ilani ya Chama inavyotaka tuitekeleze.
14.Kyela ni maarufu kwa kufurahia kuona watu wanagombana, hilo ni pepo likemewe.
15.Wezi wote lazima wachukuliwe hatua
16.Ushirika hauta kufa na mazao ya korosho yataendelea kuuzwa kwa ushirika.
17.Naenda kushughulikia upatikanaji wa magunia ya Korosho
18.Maeneo yenu yanafaa kulima mara 2 Kwa mwaka

*maagizo*

1.Nimemwagiza mkurugenzi katika bajeti hii atenge pesa kwa ajili ya kuanzisha  skimu kubwa 2 za umwagiliaji
2.Kila mkulima afungue akaunti yake
3.Ghala kuu lilifungwa lifunguliwe ndani ya mwezi mmoja
4.Mawakala walete pembejeo za kutosha kwani huu ndio msimu wa kilimo.
5.Mkuu wa Wilaya pamoja na kamati ya ulinzi na usalama simamieni minada ya Kokoa.
6.Takukuru kamata wezi wote waliokula pesa ya mkulima.
7.Mkuu wa Wilaya kamata NJEMKE kamata wote kwanzia sasa.
8.Kila mkulima wa kokoa atambulike na kuwe na daftari la kudumu.
9.Chuo cha Uyole wafanye utafiti wa mbegu zetu za asili ili zianze kutumika mara moja.
10.Tununue mbolea zinazoendana na udongo halisi
11.Maafisa ushirika kutoka tume, nimeambiwa kuna AMKOS 18, NATAKA zikaguliwe zote ndani ya mwezi mmoja.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAH. MADIWANI WAIACHA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA MAHALI SALAMA WAKUSANYA BILLION 8.1 MPAKA ROBO YA TATU

    May 29, 2025
  • KAMATI YA FEDHA,UONGOZI NA MIPANGO MIJI YA MAMALAKA YA MJI MDOGO KYELA IMEFANYA ZIARA YA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA KUPUMZIKIA ABIRIA KATIKA STENDI KUU YA MABASI

    May 28, 2025
  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa