• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DC MANASE ASISITIZA WANANCHI KUTUMIA NISHATI SAFI

Imewekwa Kwenye: August 11th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kyela Mhe.Josephine Manase amefanya ziara ya kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za Wananchi wa Kijiji cha  Mabunga kata ya Ipinda tarehe 11.8.2025

Akitatua changamoto ya kushuka kwa bei ya zao la kokoa Mhe.Manase amesema kokoa inauzwa kwa njia ya mnada kupitia soko la dunia, hivyo bei inapangwa kulingana na uzalishaji na uhitaji, pia amewaasa viongozi wa vyama vya ushirika (AMCOS )  kutojihusisha na masuala ya wizi wa zao la kokoa kwa yeyote atakae bainika  hatua kali za kisheria zitachukuliwa.

Kuhusiana na changamoto  ya uharibifu wa Miundombinu Mhe.Manase ameipongeza Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri kwa kununua mitambo ya kutengeneza barabara itakayosaidia  kutatua baadhi ya changamoto za barabara hasa wakati wa mvua.

Aidha Mkuu wa Wilaya amewataka Wazazi kuunga mkono sera ya Elimu bure inayotolewa na Serikali ya awamu ya sita inayoingozwa na Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa mchango wa chakula shuleni  ili kuwatengenezea watoto Afya ya mwili na akili pamoja na kujenga ushirikiano mzuri baina yao.

akisisitiza matumizi ya nishati safi Mhe. Manase amesema mpango wa Serikali ni kupeleka umeme kwenye vijiji na vitongoji hivyo mpango huo utasaidia Wananchi kuacha matumizi ya nishati chafu na kutumia nishati mbadala.

Kuelekea katika kipindi cha uchaguzi Mhe.Mkuu wa Wilaya ya Kyela amewataka wananchi kujiepusha na masuala mbalimbali yatakayochochea vurugu kwenye jamii,na kuwataka kudumisha na kuendeleza  amani iliyopo Nchini

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MILIONI 570 ZATOLEWA KWA VIKUNDI VYA VIJANA, WANAWAKE PAMOJA NA WATU WENYE ULEMAVU

    January 07, 2026
  • MKURUGENZI MTENDAJI KYELA ADV. FLORAH A. LUHALA AWATAKA WATUMISHI WAPYA 50 KULINDA NIDHAMU YA KAZI NA KUHUDUMIA WANANCHI

    December 05, 2025
  • THOBIAS JOSEPH MWAMKONDA APITA KWA KISHINDO KUWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA

    December 02, 2025
  • DC KYELA AONGOZA KIKAO KAZI NA WATENDAJI WA KATA, WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI

    November 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa