• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA KYELA AONGOZA TATHMINI YA MICHEZO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA.

Imewekwa Kwenye: August 16th, 2025

MKUU WA WILAYA KYELA AONGOZA TATHMINI YA MICHEZO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA.

Mkuu wa Wilaya ya Kyela, Mhe. Josephene Manase, ameongoza tafrija ya tathmini ya michezo ya UMITASHUMTA na UMISSETA iliyofanyika tarehe 15 Agosti 2025 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela.

Akizungumza katika hafla hiyo, Mhe. Manase aliwapongeza walimu kwa kujitoa kwa hali na mali kuhakikisha wanafunzi wanashiriki michezo bila kuathiri ratiba zao za masomo. Alisema jitihada hizo zinaonyesha dhamira ya dhati ya kukuza vipaji vya michezo mashuleni.

Aidha, Mkuu wa Wilaya alitumia nafasi hiyo kumpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kyela, Adv. Florah A. Luhala, kwa kutoa hamasa kubwa kwa walimu na wanafunzi. Alisema uongozi wa Adv. Luhala umekuwa mstari wa mbele kuwashika mkono walimu na wanafunzi katika kuhakikisha Wilaya ya Kyela inapiga hatua kubwa kwenye michezo.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kyela, Adv. Florah A. Luhala, ameahidi kuendelea kushirikiana na walimu na wadau wote ili kuhakikisha Kyela inaendelea kung’ara kimichezo katika Mkoa wa Mbeya na taifa kwa ujumla.


Aidha, Adv. Luhala aliwashukuru wadau mbalimbali wanaounga mkono juhudi za kukuza michezo mashuleni, akisema msaada wao umekuwa chachu ya mafanikio ya Kyela katika mashindano haya na ni mfano wa mshikamano wa jamii kwa maendeleo ya elimu na michezo.


Hafla hiyo pia ilihusisha ugawaji wa vyeti na zawadi kwa shule pamoja na tarafa zilizofanya vizuri zaidi katika mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA mwaka huu. Tuzo hizo zilitolewa kama ishara ya kutambua na kuthamini jitihada za wachezaji, walimu na viongozi wa michezo.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO AONGOZA MCHAKATO WAKUMPATA MAKAMU MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO NA WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU

    October 01, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI ADV. FLORAH A. LUHALA AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MAPATO YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    September 30, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA, MHE. JOSEPHINE MANASE, AMEKABIDHI HUNDI YA MFANO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA SITA HAMSINI NA TATU LAKI SITA (653,600,000/=) KWA VIKUNDI 70 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    September 22, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA AFUNGA MAONESHO YA KUSINI INTERNATIONAL TRADE FAIR AND FESTIVAL YA MWAKA 2025

    September 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa