• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

UJIO WA WAZIRI WA VIJANA MHE. JOEL NANAUKA WALETA TUMAINI JIPYA KWA WAJASIRIAMALI WILAYANI KYELA

Imewekwa Kwenye: November 27th, 2025

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Arthur Nanauka, ameendelea na ziara yake ya kusikiliza na kutatua kero zinazowakabili vijana katika Wilaya ya Kyela tarehe 27 Novemba 2025.

Akizungumza na vijana wa wilaya hiyo, Mhe. Nanauka alimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kutambua nafasi na mchango mkubwa wa vijana katika maendeleo ya Taifa. Amesema uamuzi wa Rais kuunda Wizara maalum ya Maendeleo ya Vijana ni hatua muhimu inayolenga kuwawezesha vijana na kujenga Taifa lenye nguvu na dira ya maendeleo.

Aidha, Mhe. Waziri amesisitiza kuwa vijana ni wadau wakubwa wa maendeleo ya nchi, hivyo amewahimiza kutumia kikamilifu fursa mbalimbali zinazojitokeza, ikiwemo mikopo ya 10% inayotolewa na Halmashauri, ili kuanzisha na kuimarisha shughuli za kiuchumi zitakazowaongezea kipato na kuwatoa kwenye utegemezi.

Kuhusu changamoto ya mazingira duni kwa baadhi ya wajasiriamali wadogo, Mhe. Nanauka amesema Serikali inatambua mchango wao katika uchumi wa Taifa, hivyo itaendelea kuboresha mazingira ya kufanyia biashara ili kuhakikisha wanapata sehemu bora, salama na rafiki kwa maendeleo ya biashara zao.

Katika hatua nyingine, Mhe. Waziri amewataka vijana wa Kyela kulinda na kuthamini amani ya nchi kwa kujiepusha na vitendo vinavyoweza kusababisha vurugu au kuharibu miundombinu ya umma. Amesema amani ni msingi muhimu wa maendeleo na kila kijana ana wajibu wa kuilinda.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • UJIO WA WAZIRI WA VIJANA MHE. JOEL NANAUKA WALETA TUMAINI JIPYA KWA WAJASIRIAMALI WILAYANI KYELA

    November 27, 2025
  • MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO AONGOZA MCHAKATO WAKUMPATA MAKAMU MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO NA WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU

    October 01, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI ADV. FLORAH A. LUHALA AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MAPATO YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    September 30, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA, MHE. JOSEPHINE MANASE, AMEKABIDHI HUNDI YA MFANO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA SITA HAMSINI NA TATU LAKI SITA (653,600,000/=) KWA VIKUNDI 70 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    September 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa