• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Baraza la Madiwani Lapitisha Bajeti Ya Shilingi Bilioni 5.071 Kutoa Ombi Maalum Kwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Imewekwa Kwenye: February 2nd, 2023

BARAZA la madiwani wa halmashauri ya wilaya Kyela, limeadhimia kumuandikia ombi maalum, Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, ili aweze kuwasaidia kuhakikisha maboma 14 yaliyojengwa na wananchi, zikiwemo zahanati yanakamilishwa.

Limesema wananchi wamejitoa nguvu, muda na mali zao kuhakikisha maendeleo yanasonga mbele  katika wilaya hiyo, hivyo katika eneo hilo ni vizuri baraza hilo kwa kushirikiana na wataalam wapeleke ombi maalum kwa Mkuu wa nchi.

Hayo yalijiri katika kikao cha baraza la madiwani,kupitisha rasimu ya bajeti ya mwaka 2023/2024, kwa ajili ya utekelezaji wa matumizi ya halmashauri ya wilaya Kyela, kilichoketi katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo.

Mwenyekiti wa halmashauri, Katule Kingamkono, alisema bajeti yao ina kiasi cha sh.bilioni 5.071,kutoka sh.bilioni  4.681, ikiwa ni ongezeko la asilimia 8.13, ikilinganishwa na bajeti ya mwaka 2022/23.

Kingamkono alisema madiwani, wenyeviti wa vijiji na vitongoji pamoja na wananchi, wamekuwa na muitikio mkubwa wa uainzishwaji wa miradi mingi ya maendeleo, kutokana na nguvu kazi zao na mpaka sasa wanayo maboma 14 yaliyo jengwa.

“Tunaposema maboma 14 unazungumzia zaidi ya sh.milioni 900 hadi sh.bilioni moja na kidogo,lakini ukiangalia bajeti yetu tuliyoipitisha leo katika masuala ya afya tunazo sh.milioni 320, hivyo hapa tunazungumzia upatikanaji wa zaidi ya sh.milioni 600 hadi 800” alisema Kingamkono.

Aliongeza hivyo wameona serikali kuu ndiyo mlezi wao, na Rais Dk.Samia miongoni mwa maeneo aliyoelekeza nguvu kubwa ni katika afya, hivyo baraza lake limeona wawe na ombi maalum ili maboma yaliyopo yaweze kukamilishwa na wananchi waendelee kupata huduma.

Awali, diwani wa kata ya Itungi, Dickson Mwalukama, alisema kumekuwa na maboma mengi  yakiwemo ya zahanati yaliyojengwa,na kuwashukuru wananchi pamoja na wenyeviti wa vitongoji na vijiji, ambao wamekuwa karibu na wananchi.

Alisema pamoja na maboma mengi yaliyopo, anao uhakika kwamba fedha waliyonayo ni ndogo, na ili waweze kuwaunga mkono wananchi wao kwa kazi kubwa wanayoifanya, kwa kushirikiana na wenyeviti wa vitongoji, vijiji  pamoja na madiwani.

“Kupitia baraza hili naomba kwamba ni vizuri tungeandaa ombi maalum, kwa Rais wetu Dk.Mama Samia,ambaye ni msikivu nina uhakika tukipeleka maombi

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa