• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI LAMPONGEZA MHE.DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KUWA MGOMBEA WA URAIS

Imewekwa Kwenye: February 6th, 2025

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela Mhe.Katule G. Kingamkono ameongoza  Baraza la robo ya pili katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri tarehe 6.2.2024.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Kyela,Katibu Tawala Bi. Sabrina Hamoud amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuleta Fedha kwa ajili ya kukamilisha na kuendeleza Miradi ya maendeleo.

Pia Amempongeza Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupitishwa na mkutano Mkuu wa (CCM) kuwa Mgombea wa Urais wa Tanzania kwa Mwaka 2025.

Aidha Katibu Tawala amewapongeza Wah. Madiwani pamoja Wataalamu kutoka Ofisi ya Mkurugenzi kwa  ushirikiano na ukusanyaji wa Mapato na kufikisha 98% zilizovuka malengo ndani ya robo ya pili.

Katibu Tawala amewataka Wah.Madiwani kwa kushirikiana na Waratibu Elimu pamoja na Maafisa Elimu kuwahamasisha Wazazi  wenye Watoto waliofaulu kujiunga na masomo ya Sekondari  ili wakaendelee na Masomo kwani mpaka sasa wanafunzi walioripoti shuleni ni 78% tu.

Kuhusiana na Mikopo ya 10% inayotolewa kwa Wanawake Vijana na watu wenye Ulemavu Bi. Sabrina amempongeza Mkurugenzi na Ofisi ya maendeleo ya Jamii kwa ufuatiliaji na utoaji mzuri wa Elimu kwa Wananchi wenye vigezo vya kupata Mikopo hiyo itakayoanza kutolewa hivi karibuni.

Mhe.Katule amesema kuzidi kwa malengo ya Mapato hayo yaliyofikia 98% ndani ya robo pili amemwagiza Mkurugenzi  kununua mitambo ya kutengeneza Barabara( Greda,Rolla) kupunguza na kuondoa changamoto yenye ubovu Miundombinu kwa baadhi ya Kata, Vijiji na vitongoji vyenye changamoto hiyo.

Hali kadhalika Mhe .Mwenyekiti amesema Halmashauri imeandaa mkakati kwa kila Kata Vijiji na Vitongoji kuendeleza Zao la Kokoa kwa kugawa Miche kwa Wananchi ili kuimarisha Uchumi wa Wananchi na Wilaya kwa ujumla.

Akijibu maswali ya Papo kwa hapo yaliyoulizwa na Wah.Madiwani ikiwemo ujenzi wa Soko kwa wajasiriamali wadogo (wauza matunda) Mhe. Katule amesema Halmashauri ipo kwenye mpango wa kujenga jengo hilo ili kuwatengenezea mazingira bora ya biashara.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • DED KYELA AFANYA KIKAO NA WATENDAJI KATA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA UTENDAJI KAZI NA USIMAMIZI WA SHUGHULI ZA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA

    April 10, 2025
  • DC KYELA AWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM KUANZIA JULAI HADI DESEMBA 2024

    March 29, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA JENGO LA MAMA NA MTOTO KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YA KYELA

    March 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa