• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Benki Kuu (BOT) Tawi La Mbeya Yatoa Elimu Ya Dhamana Wilayani Kyela

Imewekwa Kwenye: September 3rd, 2024

Benki kuu ya Tanzania (BOT) tawi la Mbeya wameongoza semina, kwa wadau juu ya uwekezaji kwenye dhamana za Serikali 2024/2025 katika ukumbi wa mikutano wa Halmshauri tarehe 03/09/2024.

Semina hiyo imehudhuriwa na wadau mbalimbali, wakiwemo, wataalamu kutoka ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri, Taasisi za serikali pamoja na wananchi.

Akiongea kwa niaba ya Mhe. Josephine Manase, Mkuu wa wilaya ya Kyela Ndg. Rowllens Kabuje, amewashukuru wataalam kutoka Benki Kuu kwa kutoa elimu juu ya uwekezaji, kwenye dhamana za Serikali katika wilaya ya Kyela, pia amewasihi wadau mbalimbali kujiunga na huduma hiyo, ili kuachana na aina ya mikopo kandamizi.

Akitoa elimu kwa wadau waliohudhurua semina hiyo Ndg. Luther Luvanda ameeleza namna ya ushiriki katika dhamana za serikali ikiwemo dhamana za mda mfupi kuanzia miezi 3, mpaka mwaka 1 pamoja na dhamana za mda mrefu kuanzia miaka 2 na kuendelea.

Aidha Ndg. Luvanda ameeleza faida za dhamana za serikali kwa wawekezaji ikiwemo viwango vya riba zinazoridhisha, kugharamia bajeti, kupata fedha za kuendesha miradi ya maendeleo pamoja na kutoa fursa za uwekezaji.

Vilevile Ndg. Luther Luvanda  amefafanua vigezo vitakavyomuwezesha mdau kujiunga na huduma hiyo ikiwemo, mwananchi mwenye umri wa miaka 18, kitambulisho cha Taifa, Tax  Payer Identification Number ( TIN NUMBER), na kitambulisho cha mpiga kura.

Mwisho wadau walipata fursa ya kuuliza maswali yaliyojibiwa na mtaalam kutoa Benki Kuu kwa ufafanuzi uliwalidhisha wadau wote.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA MBEYA MHE. DKT. JUMA ZUBERI HOMERA AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA KWA KUFIKISHA BILIONI 8.7 SAWA NA ASILIMIA 125% KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 17, 2025
  • MAADHIMISHO YA MTOTO WA AFRIKA YAFANA WILAYANI KYELA

    June 16, 2025
  • VIVUTIO MBALIMBALI VINAVYOPATIKANA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA

    June 16, 2025
  • WANANCHI WA KIJIJI CHA KYANGALA WALIA MACHOZI YA FURAHA BAADA YA KUPATA ZAHANATI MPYA KATIKA KIJIJI HICHO

    June 10, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa