• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Bodi Mbili Za Maji Za Zinduliwa Kyela

Imewekwa Kwenye: July 6th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Kyela Mhe.Claudia U. Kitta amezindua bodi mbili za maji yaani Bodi ya maji ya mji mdogo Kasumulu na Bodi ya maji ya mji mdogo Ipinda julai 6 2018.

Akizindua bodi hizo Mkuu wa Wilaya amewataka Wajumbe wa bodi za maji zilizoundwa kufanya kazi kwa lengo la kuwahudumia Wananchi, pia amewataka Wananchi kulinda na kuvitunza vyanzo vyote vya maji vilivyopo Kyela, lakini amesisitiza swala la ulipaji wa bili za maji kwa wakati kama afanyavyo yeye.

Amesema kuna baadhi ya ofisi za umma zinadaiwa bili za maji na zimekuwa zikichelewesha malipo ya bili, hivyo kwa uzinduzi wa bodi hizi anaamini zitafanya kazi kwa kasi ili kuhakiki bili za maji zinalipwa kwa wakati kutoka kwa Wananchi na ofisi za serikali. 

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Mhe. Hunter Mwakifuna aliwaambia wajumbe kwamba swala la maji haliitaji itikaji, tukiingiza siasa katika swala hili tutauwa watu, fanyani kazi wajumbe wote mlioteuliwa kuunda bodi hizi. 

Aidha Meneja wa maji mji mdogo Kasumulu bi. Atunosyege A. Mwakang'ata alitoa changamoto mbalimbali zinazoukabili utoaji huduma za maji Kasumulu zikiwemo, 

Uchakavu wa miundo mbinu ya maji, kutokuwa na eneo la kujenga ofisi, kutokuwa na eneo la kutililisha maji taka, ujenzi holela wa kujenga juu ya miundo mbinu ya maji pamoja na matumizi ya miundo mbinu ya teknolojia ya zamani katika chanzo cha maji cha mto Mwega. 

Aidha lengo kuu la Mamlaka ya maji Kasumulu ni kutoa huduma bora ya maji kwa wakazi 19,214 ila kwa sasa wanaopata maji kwa shida shida ni wakazi 6,980.

kwa upande wa Ipinda lengo ni kuwafikia wakazi 11,750 ila kwa sasa ni wakazi wa kanga ambao ni 8,770 tu. 

Mwisho tunapenda kutoa pongezi kwa Serikali ya awamu ya tano kwa jitihada inazozifanya kuondoa kero za Wananchi wake Tanzania. 

Meneja wa maji wa mji mdogo Kasumulu Bi. Atunosyege A. Mwakang'ata akipokea cheti chake cha kuteuliwa kuwa mjumbe wa bodi ya maji Kasumulu. 


Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO AONGOZA MCHAKATO WAKUMPATA MAKAMU MWENYEKITI WA MAMLAKA YA MJI MDOGO NA WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU

    October 01, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI ADV. FLORAH A. LUHALA AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MAPATO YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    September 30, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA, MHE. JOSEPHINE MANASE, AMEKABIDHI HUNDI YA MFANO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA SITA HAMSINI NA TATU LAKI SITA (653,600,000/=) KWA VIKUNDI 70 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    September 22, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA AFUNGA MAONESHO YA KUSINI INTERNATIONAL TRADE FAIR AND FESTIVAL YA MWAKA 2025

    September 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa