• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DC KYELA MHE. JOSPHINE MANASE AMEFUNGUA MAFUNZO YA KUONGEZA VIRUTUBISHI KWENYE UNGA WA MAHINDI ILI KUEPUKANA NA UPUNGUFU WA VIINI LISHE MUHIMU KWENYE JAMII ZETU.

Imewekwa Kwenye: September 16th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kyela Mhr.Josephine Manase amefungua mafunzo ya kuongeza virutubishi kwenye unga wa mahindi tarehe 16.9.2025 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri.

Akizungumza na wadau wa Lishe katika ufunguzi wa mafunzo hayo Mhe. Manase  amesema mafunzo haya yanalenga kuleta uelewa kuhusu Sheria mpya za viwango zilizotolewa na Serikali tarehe 15.11.2024  juu ya ufafanuzi  wa kanuni za uongezaji wa virutubishi kwenye chakula.

Aidha Mhe.Manase amewataka wadau wote wa Lishe kuwa na ushirikiano kati yao na kuwa mabalozi wazuri, hivyo wanapaswa kuzingatia utekelezaji wa Sheria zote uongezaji wa virutubishi kwenye chakula ili kuepukana na upungufu wa viini Lishe muhimu kwenye jamii zetu.

Akiendelea kusisitiza umuhimu wa Lishe shuleni Mhe.Manase amesema ni muhimu kwa kila mwanafunzi kupata chakula cha mchana awapo Shuleni hivyo amewataka walimu  kuweka mikakati na ajenda za kudumu  juu ya kutoa Elimu kwa Wazazi kuhusu Lishe ili waweze kutoa mchango wa chakula.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DC KYELA MHE. JOSPHINE MANASE AMEFUNGUA MAFUNZO YA KUONGEZA VIRUTUBISHI KWENYE UNGA WA MAHINDI ILI KUEPUKANA NA UPUNGUFU WA VIINI LISHE MUHIMU KWENYE JAMII ZETU.

    September 16, 2025
  • RC MBEYA MHE. BENO MALISA AFUNGUA RASMI MAONESHO YA BIASHARA YA KUSINI INTERNATIONAL TRADE FAIR & FESTIVAL

    September 14, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA APOKEA BOTI YA DORIA KWA AJILI YA ZIWA NYASA

    August 23, 2025
  • MKUU WA WILAYA KYELA AONGOZA TATHMINI YA MICHEZO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA.

    August 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa