• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

DC MANASE AWATAKA MAAFISA UGANI KUWATEMBELEA WAKULIMA NA KUTATUA CHANGAMOTO ZAO

Imewekwa Kwenye: July 22nd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kyela Mhe Josephine Manase amefanya ziara ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa Kijiji cha Katumba  Kata ya Katumbasongwe tarehe 22.7.2025.

Miongoni mwa kero zilizotajwa ni pamoja na kuwepo kwa michango, kuendelea kwa matumizi ya Nishati chafu  pamoja  na changamoto ya Ugonjwa kwenye mazao.

Akitatua kero ya matumizi ya nishati chafu Mhe. Manase amesema Serikali ipo inafanya tathimini namna ya kuboresha upatikanaji wa  nishati safi kwa Wananchi kama kuwepo kwa umeme kwenye Vitongoji na Vijiji ili Kila Mwananchi aweze kuipata Kwa gahalama nafuu zaidi kulingana na kipato Cha Kila mtu, kwahiyo itakuwa rahisi kuunga Mkono juhudi za Mhe. Rais juu ya matumizi ya nishati safi.(alisema Mhe: Manase)

Aidha Mhe. Manase amemuagiza Mwenyekiti wa Kitongoji kufanya vikao vya kukubaliana na Wananchi wake juu ya michango yoyote inayojitokeza kwenye Kijiji kwa ajili ya kufanya shughuli mbalimbali za maendeleo.

Sambamba na hayo Mhe.Mkuu wa Wilaya amewataka Maafisa Ugani kuweka  utaratibu wa kutembelea Wananchi husani wakulima kwa ajili ya kutoa ushauri na kubaini changamoto zao na kuzifanyia utatuzi.

Katika jitihada za  kuunga mkono juhudi za Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania juu ya suala la Elimu bure Mhe.Manase amewahimiza Wazazi wenye watoto Shuleni kuchangia chakula ili kuimarisha Afya na akili ya mtoto,kuondoa matabaka, pamoja na kujenga ushirikiano mzuri na wenzake pindi awapo Shuleni.

Mhe.Manase amewataka Vijana  wenye Elimu walio Mtaani  kujiunga na mifumo inayotangaza ajira  ili waweze kujua nafasi mbalimbali za kazi zinazotolewa na serikali.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA MWAKA WA IDARA YA AFYA NA LISHE WAFANYIKA WILAYANI KYELA

    August 01, 2025
  • DED KYELA AWATAKA WASIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO KUZINGATIA USAFI WA MAZINGIRA KWENYE MIRADI

    July 29, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA KYELA Adv FLORAH A. LUHALA AONGOZA TIMU YA MENEJIMENT YA KAMATI YA ELIMU NA AFYA KUKAGUA MIRADI.

    July 28, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA KYELA ATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    July 22, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa