• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Hakuna Mtendaji Yeyote Atakaeonewa Kwa kipindi Cha Uongozi Wangu-Katule Kingamkono

Imewekwa Kwenye: April 14th, 2021

Haya yamezungumzwa na Mhe. Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kyela Katule Kingamkono alipokuwa akifungua mafunzo ya watendaji wa vijiji 93 na kata 33 wilaya ya Kyela, mafunzo yaliyofanyika katika ukumbi mkubwa wa halmashuri ya wilaya ya Kyela tarehe 14/04/2021.

Akizungumza na washiriki wa mafunzo hayo Mhe. Mwenyekiti amesema katika swala la mapato wilaya ya Kyela ipo mikononi  mwa watendaji, sababu unapozungumzia  mapato ya halmashauri basi tunaanza na watendaji  katika ngazi ya kijiji na kata. Na ndio maana tumeamua kufanya mafunzo haya ili kila mtendaji ajitambue na atambue nini cha kufanya katika mazingira yake ya kazi.

Pia Mhe. Mwenyekiti alitoa pongezi kwa watendaji wote ambayo wamekusanya mapato kwa kasi kubwa hadi kuifanya wilaya ya Kyela kuongoza mkoa kwa ukusaji mapato kwani hadi sasa tumefika asilimia 78.96, kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa kwa muda huu tangu halmashauri ianzishwe.

Pamoja na hayo, Mheshimiwa mwenyekiti wa halmashauri amewataka watendaji wote kutoa taarifa za mapato na matumizi katika mikutano yao, ili kuwaweka wazi wananchi kujua mapato na matumizi ya pesa zao, Hata hivyo amewataka watendaji kupeleka benki pesa  wanazozikusanya . Na alimaliza kwa kuwaahidi watendaji kwamba hakuna mtendaji yoyote atakaeonewa kiutumishi endapo kama atafuata taratibu ,kanuni na sheria za utumishi.

Aidha Mhe. Mwenyekiti wa Mamlaka ya mji mdogo Emmanuel Bongo alisema, viongozi wasitumie majungu katika kuwaongoza watendaji, kwani watendaji ndio waliosimamia vizuri uchaguzi hadi kupata viongozi imara hivyo ni vyema kurudisha fadhira kwao.

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela ndugu Ezekiel Magehema aliwataka watendaji waende wakasimamie ukusanyaji wa mapato katika vijiji vyao na kata zao na kuondokana na hali ya kuwa walalamikaji, amewataka viongozi hao waende wakafanye kazi.

Aidha alisema hatashindwa kumuajibisha mtendaji yeyote yule ambae atafanya kazi kinyume na utaratibu,sheria na kanuni za kazi mara tu baada ya mafunzo haya. Pia alitoa pongezi kwa watendaji wote waliofanya kazi kwa bidii na hadi kuifanya wilaya kuwa juu katika kukusanya mapato katika mkoa wetu. Mwisho aliwatakia mafunzo mema watendaji wote wa vijiji na kata waliohudhulia mafunzo hayo.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa