• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyela Yamka Katika Kampeni ya Upandaji Miti

Imewekwa Kwenye: April 18th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela Mhe. Katule Kingamkono amehamasisha shughuli ya  upandaji wa miti wilayani Kyela, kazi iliyofanyika katika shule ya sekondari Kajunjumele, tarehe 16-04-2024.

Katika zoezi hilo Mhe. Katule amepata fursa ya kutoa elimu kwa wananchi na wanafunzi juu ya umuhimu wa utunzaji wa mazingira na upandaji wa miti katika mazingira yanayoizunguka jamii.

Mhe. Kingamkono amewataka wananchi kuwa na tabia ya upandaji wa miti katika kingo za mito ili kuondokana na maafa mbalimbali kama vile mafuriko na upepo katika miezi ya mvua.

Hata hivyo Mhe. Katule amesisitiza kuwepo kwa utaratibu maalumu ambapo pindi mti ukikatwa mara moja upandwe mwingine, kwa kufanya hivyo tutairudisha Kyela yetu katika hali ya ukijani na kupendeza.

Pamoja na hayo Mhe. Katule Kingamkono amesisitiza na kuwataka wananchi pamoja na wanafunzi katika kata ya Kajunjumele kulinda uoto wa asili lakini pia kuilinda milima yetu kwakuto kata miti hovyo kwa lengo la kupata maeneo ya kilimo kwani madhara yake ni makubwa kuliko faida.

Mwisho Mhe. Katule Kingamkono amewataka viongozi kuwa walinzi mazingira asili na kuwachukulia hatua watu watakao onekana wanafanya uharibifu wa mazingira ikiwemo ukataji wa miti kiholela, pia amechukua fursa hiyo kutoa pole kwa wananchi kwa maafa yaliyo ikumba shule ya sekondari Kajunjumele ikiwemo uharibifu wa miundombinu ya shule kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa