• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyela Yapongezwa Kwa Miradi Yenye Tija

Imewekwa Kwenye: October 18th, 2023

Naibu waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Khamis Hamza Khamis (katikati) akiwa anapewa elimu kuhusiana na faida ya zao la kakao. Wapili kutoka kushoto ni mwenyeji wake Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine Manase.

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Khamis Hamza Khamis aipongeza halmashauri ya wilaya ya Kyela kwa miradi yenye tija.

Naibu waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Khamis Hamza Khamis akiwa katika eneo la bwawa la ufugaji wa samaki.

Mheshimiwa Naibu waziri ameyasema hayo leo tarehe 18/10/2023, alipofanya ziara ya kutembelea kitalu cha miche ya michiki cha halmashauri ya wilaya ya Kyela, bwawa la kufuga samaki, mtambo wa kutotoresha vifaranga vya samaki pamoja na eneo la shamba la  mkulima al maarufu Mzee Tiptop anaepatikana katika kata ya Ibanda.

Akiwa katika eneo la uzalishaji wa miche ya miti ya chikichi, Mheshimiwa Khamis Hamza Khamis, amepongeza jitihada zinazofanywa na wataalamu wa halmashauri ya wilaya ya Kyela, kwa kupanda miche ya michikichi na kuigawa bure kwa wananchi.

Naibu waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Khamis Hamza Khamis akiwa katika eneo la mtambo wa kuzalishia vifaranga vya samaki katika ofisi za Idara ya kilimo wilayani Kyela.

Hata hivyo Mheshimiwa Naibu waziri ameitaka halmashauri ya wilaya ya Kyela kuongeza uzalishaji wa miche hiyo, ili kuongeza usambazaji wa miche hiyo kwa wananchi.

Aidha Mheshimiwa Naibu waziri amesifu mradi wa ufugaji na utitoreshaji wa vifaranga vya samaki na kuviuza kwa bei rahisi kwa wananchi kazi inayofanywa na halmashauri ya wilaya ya Kyela.

Pia amesema elimu ya ufugaji wa samaki izidi kutolewa kwa wananchi kwani kufanya hivyo, itasaidia wananchi kuachana na uvuvi haramu na kuanza shughuli za ufugaji wa samaki majumbani.

Naibu waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Khamis Hamza Khamis akiwa nyumbali kwa mkulima na mfugaji maarufu "mzee TipTop" kushoto, akipata elimu dhidi ya matumizi ya nishanti " Biogas" mbadala kwa matumizi ya kupikia.

Akiwa katika shamba la mzee tiptop mkulima maarufu wilayani Kyela, Mheshimiwa Khamis Hamza Khamis, amempongeza mkulima huyo, kwa kutumia nishati mbadala "biogas" na kuunga mkono jitihada za Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. Samia Suluhu Hassan ambae amekuwa akihamasisha matumizi ya nishati mbadala ili kulinda mazingira.

Amewataka viongozi wa wilaya ya Kyela, kumtengenezea mazingira wezeshi Mkulima huyo ili aweze kupita na kutoa elimu kwa wanafunzi kwa shule zilizopo wilayani Kyela.

Naibu waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Khamis Hamza Khamis akiwa nyumbali kwa mkulima na mfugaji maarufu "mzee TipTop" kushoto, akipata elimu dhidi ya upandaji wa mti wenye uwezo wakuzaa tunda zaidi ya aina moja.

Pamoja na hayo Mheshimiwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Muungano na Mazingira alipata fursa ya kupanda mti ikiwa ni ishara ya kuunga mkono jitihada za utunzaji wa mazingira, unaofanywa na wadau wa mazingira wilayani Kyela.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • BIDHAA FEKI ZILIZOINGIA KWA NJIA HARAMU ZATEKETEZWA KWA MOTO

    July 01, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa