• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyela Yatoa Elimu Ya Utunzaji Wa Mazingira Kata Ya Ngana

Imewekwa Kwenye: October 14th, 2023

Halmashauri ya wilaya ya Kyela kwa kushirikiana na Ofisi ya Muhifadhi mazingira "TFS" tarehe 13/10/2023 wametembelea kata ya Ngana kijiji cha Ngana ili kutoa elimu ya kuwataka wananchi kuacha kufanya shughuli za kibinadamu ikiwemo kilimo katika mazingira ya vyanzo vya maji na ndani ya hifadhi ya misitu.

Mafunzo yaliongozwa na Mhifadhi misitu bwana Revocatus Frumence, akiwa ameongozana na Afisa mazingira bwana Godwin Gosbert, Eng. Venance Nkolabigawa pamoja na Salehe safi kutoka RUWASA.

Aidha elimu iliyotolewa ni pamoja na kuwasisitiza wananchi kuacha shughuli za;

Uchomaji wa mkaa, uvunaji haramu wa kuni na mbao, kilimo cha kuhamahama, malisho ya mifugo hususani kipindi cha masika katika vyanzo vya maji, uvuvi wa samaki kwenye skimu za umwagiliaji, uwindaji wa wanyamapori na kulima kwenye vyanzo vya maji au ndani ya mita 60.

Ndugu Revocatus amesema, kutokana na shughuli hizi za kibinadamu athari zifuatazo zimeonekana  kwa jamii ya  kata ya Ngana ikiwemo,

Kupungua maji ya mto  Kandete  na  Mwega ambayo zamani ilikuwa inatiririsha maji mwaka mzima, kuhamia kwa nyani majumbani na kwenye michikichi  baada ya kukosa chakula na hifadhi  porini, uchache wa maji, kwenye skimu za umwagiliaji za mashamba ya mipunga, uhaba wa uzalishaji wa  chakula pamoja na kupungua kwa maji katika chanzo cha mto Mwega-Ngana group.

"Hifadhi mazingira kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho"


Mwisho.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa