• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyela Yatoa Matone Ya Vitamini A Kwa Watoto 40,452 Kati ya Watoto 42,396

Imewekwa Kwenye: October 16th, 2021


Halmashauri ya wilaya ya Kyela kupitia Idara ya Afya kitengo cha lishe, imefanikiwa kutoa matone ya vitamini A kwa watoto 40,452 kati ya watoto 42,396 ambayo ni 95.4% katika robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2021/2022.

Taarifa hii imetolewa na Afisa lishe wa wilaya bi. Napendael Philemon alipokuwa akiwasilisha taarifa yake ya robo katika kikao cha kamati ya lishe kilichofanyika tarehe 15/10/2021.

Pamoja na hayo, Afisa lishe hiyo amesema Idara ya Afya kupitia kitengo cha lishe wamefanikiwa kutoa elimu ya chakula bora cha watoto, kufanya usimamizi shirikishi na elekezi wa huduma za Afya, pamoja na uhamasishaji wa kilimo cha bustani za mbogamboga mashuleni.

Mkurugenzi Mtendaji ambae ndiye Mwenyekiti wa kamati ya lishe, ndugu Ezekiel Magehema, akimkabidhi fedha mjumbe wa kamati ya lishe ndugu Omary Mbawala, ikiwa ni kumtia moyo kwa kazi anayoifanya ya kuhamasisha masuala ya lishe kwa kugawa mbegu za mboga mboga anazonunua kwa pesa yake, kwa ajiri ya kilimo cha bustani.

Aidha Mwenyekiti wa kikao hicho ndugu, Ezekiel H. Magehema amesema, kwa sasa suala la lishe latupasa kuliweka kama agenda ya kudumu katika vikao vyetu, kwani kwa hali tulionayo kila mmoja wetu ni mgonjwa. Uwe mnene au mwembamba kila mmoja na shida yake katika mwili, hivyo elimu ya vitamini A, ni lazima iendelee kutolewa kila mahali.

Pia aliwasisitiza wajumbe kuendelea kuchanja chanjo ya UVIKO 19, ili kujilinda na ugonjwa huu hatari wa corona

Katibu wa kamati ya lishe ndugu Mariam Ngwere akimkabidhi fedha mjumbe wa kamati ya lishe ndugu Omary Mbawala, ikiwa ni kumtia moyo kwa kazi anayoifanya ya kuhamasisha masuala ya lishe kwa kugawa mbegu za mboga mboga anazonunua kwa pesa yake, kwa ajiri ya kilimo cha bustani.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa