• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyela Yatoa Mkopo Wa Shilingi Milioni 150 Mkurugenzi apongezwa

Imewekwa Kwenye: June 3rd, 2022

Akifungua mafunzo kwa wanavikundi 15 leo tarehe 03/05/2022, Mheshimiwa Katule Kingamkono Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela, amesema,

Anapenda kutoa pongezi kwa Mhe. Rais kwa kuweka sheria ya kukopesha mikopo, kwani halmashauri ya wilaya ya Kyela inategemea kutoa mikopo yenye thamani ya shs milioni 150 kwa vikundi 15, Pia alimpongeza Mkurugenzi Mtendaji ndugu Ezekiel Magehema kwa kusimamia makusanyo hadi kufanikiwa kutoa mkopo huu kwa vikundi, Hata hivyo,  Mhe. Mwenyekiti aliwaomba wananchi ambao wanapata mikopo hii, wakawe mabalozi kwa wananchi wengine hasa kwa kutoa elimu ya kulipa ushuru.

Pia aliwataka kuwa walinzi kwa wote ambao wanatorosha mapato, kwani faida ya mapato ni haya ambayo leo wanayapata.

"Mkipata fedha hizi mkazifanyie malengo amabayo mmejiwekea, na niwaahidi miongoni mwa vikundi vilivyokopeshwa mwaka huu, kikundi kitakachorejesha vizuri watakopeshwa shs milioni 50".

Mwisho aliwaomba wananchi kuwaombea viongozi hasa waheshimiwa madiwani kuongoza vizuri, ili waendelee kuwa na moyo wa kupitisha mikopo hii.

Nae Afisa Maendeleo ya jamii, amesema, wao wanafanya mchakato wa kuzidi kutafuta kikundi ambacho kitafanya vizuri ili kiweze kupewa mkopo huo wa shilingi milioni 50.

Akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wanavikundi, ndugu chaula (mwanakikundi)amesema, anaishukuru serikali ya awamu ya sita kwa kutuona wananchi, pia aliahidi kwa niaba ya wenzake kuwa, pesa hizi wanazozipata wata watakwenda kuzitumia kadili walivyojipangia.

Halmashauri ya wilaya ya Kyela hadi sasa imeshatoa zaidi ya shilingi milioni 490, ikiwa ni mikopo ya vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

Matangazo

  • TUPATE TENA HUKU July 02, 2022
  • Nafasi Za Kazi May 26, 2022
  • Orodha Ya Majina Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Tano Na Vyuo Vya Kati 2020 June 17, 2020
  • Orodha Ya Majina Ya Walioteuliwa Kuwa Wasimamizi Na Makarani Waongozaji Katika Uchaguzi Mkuu October 28th 2020 October 19, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Kyela Yapongezwa Kwa Kupata Hati Safi

    June 17, 2022
  • Kijiji Cha Busoka Kata Ya Busale Chang'ara Wilayani Kyela

    June 10, 2022
  • Hundi Ya Mfano Ya Shilingi Milioni 150 Yakabidhiwa Kwa Makundi Ya Wanawake vijana Watu wenye Ulemavu Kyela

    June 06, 2022
  • Watafiti Wa Kilimo Biashara Kutoka Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam Watoa Matokeo Ya Utafiti Mafunzo Ya Ujasiriamali Kyela

    June 06, 2022
  • Angalia Zote

Video

Mkuu wa wilaya katika Balaza la Madiwani
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0756944794

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa