• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA YA KYELA AFUNGA MAONESHO YA KUSINI INTERNATIONAL TRADE FAIR AND FESTIVAL YA MWAKA 2025

Imewekwa Kwenye: September 22nd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kyela, Mhe. Josphine Manase, amefunga rasmi Maonesho ya Biashara ya Kusini International Trade Fair and Festival yaliyofanyika Matema kuanzia siku za hivi karibuni na kukamilika leo tarehe 21 Septemba 2025.

Akizungumza katika hafla ya kufunga maonesho hayo, Mhe. Manase aliwapongeza wafanyabiashara mbalimbali walioshiriki kwa kuonesha bidhaa na huduma zao, pamoja na kutoa elimu kwa wananchi kuhusu sekta mbalimbali muhimu ikiwemo kilimo, uvuvi na biashara.

Aidha, alibainisha kuwa lengo kuu la maonesho hayo ni kuwaunganisha wananchi na wafanyabiashara katika kuzitambua na kuzifanyia kazi fursa zilizopo ndani ya Wilaya ya Kyela, ili hatimaye ziwe chachu ya kuinua uchumi wa wananchi na wilaya kwa ujumla.

DC Manase pia amewasisitiza wafanyabiashara kutumia mitandao ya kijamii kama nyenzo muhimu ya kutangaza bidhaa na fursa zao, akisema teknolojia ya kidigitali imekuwa kichocheo kikubwa cha maendeleo ya biashara duniani.

Vilevile, Mhe. Manase aliwahimiza wajasiriamali wa ndani ya Kyela kuhakikisha wanajitokeza kwa wingi kila mara matamasha kama haya yanapofanyika, ili wapate nafasi ya kuonesha bidhaa zao na kuchangamkia fursa za uwekezaji zinazopatikana ndani ya wilaya ya Kyela.

Mwisho DC Manase amewaasa waandaaji wa Kusini International Trade Fair and Festival kuendeleza ushirikiano na wadau waliokutana nao mwaka huu, ili kutumia uzoefu na mapendekezo yao katika kuandaa tamasha jingine kubwa na bora zaidi mwakani.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MILIONI 570 ZATOLEWA KWA VIKUNDI VYA VIJANA, WANAWAKE PAMOJA NA WATU WENYE ULEMAVU

    January 07, 2026
  • MKURUGENZI MTENDAJI KYELA ADV. FLORAH A. LUHALA AWATAKA WATUMISHI WAPYA 50 KULINDA NIDHAMU YA KAZI NA KUHUDUMIA WANANCHI

    December 05, 2025
  • THOBIAS JOSEPH MWAMKONDA APITA KWA KISHINDO KUWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KYELA

    December 02, 2025
  • DC KYELA AONGOZA KIKAO KAZI NA WATENDAJI WA KATA, WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI

    November 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa