• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Hundi Ya Mfano Ya Shilingi Milioni 150 Yakabidhiwa Kwa Makundi Ya Wanawake vijana Watu wenye Ulemavu Kyela

Imewekwa Kwenye: June 6th, 2022


Akihitimisha zoezi la ufungaji wa mafunzo kwa vikundi na utoaji wa hundi ya mfano kwa vikundi 15, Leo tarehe 6/06/2022 Mkuu wa wilaya ya Kyela Mheshimiwa Ismail Mlawa amesema,

Serikali imekuwa na dhamira njema kwa wananchi wake, serikali inakopesha pesa kwa wananchi,Na ikiwa pesa hizi zitasimamiwa vizuri na zikarejeshwa basi wananchi wengine watafaidika. Amesema si serikali zote zinafanya hivi, bali ni serikali ya Tanzania.

Aidha amesema pesa hizi hazina riba, lengo ni kutaka kuleta tija kwamba serikali yetu inalengo mahususi la kuwaondolea wananchi wake umaskini.

"Ni imani yangu kwamba mmepewa elimu ya kutosha na mtakwenda kuzitumia pesa hizi kadili mlivyopanga" alisema Mhe. Mkuu wa wilaya.

Pamoja na hayo Mheshimiwa Mkuu wa wilaya amesema, wapo watu wengi wamefaidika na mikopo hii, hivyo endapo tutaitumia vizuri basi wote tutafaidika.

Pia aliwasa viongozi wa vikundi kwenda na kusimamia vikundi vyao, hasa katika fedha walizozipata, ili ziwatoe hatua moja kwenda hatua nyingine.

Vikundi 15 vimefaidika na mkopo kwa robo hii ya Mwaka huu wa fedha.

Aidha kaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Kenneth Nzilano amesema, Halmashauri yetu ilijipanga muda mrefu, katika suala la utoaji wa mikopo ndio maana tumefanikisha kutoa mikopo kama tulivyopanga.

Akitoa shukrani kwa niaba ya wanavikundi wenzake, ndugu Atupikile Mwabwagilo
Amesema, anaishukuru sana serikali kwa kuwaona wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, kwani tumepewa mafunzo pia tumepewa na mikopo, aliahidi kwa kusema mkopo waliopewa wataurejesha kama ilivyopangwa.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa