• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Jeshi La Magereza laingia Mkataba, Kufanya Usafi Mji Wa Kyela

Imewekwa Kwenye: September 18th, 2018

Hayo yamezungumzwa na Mwenyekiti wa Mamlaka ya mji mdogo wa Kyela Mhe. Josephat Longoli alipokuwa akitoa hotuba yake, katika kikao cha Baraza kilichofanyika katika ukumbi wa Mamlaka ya mji mdogo Kyela tarehe 18/09/2018.

Akizungumza na wajumbe wa kamati tendaji za kudumu za Mamlaka ya mji mdogo wa Kyela, Mhe. Josephat Longoli amesema, Mamlaka ya mji mdogo imefanya mkataba na jeshi la magereza Kyela, ili kuwatumia wafungwa katika kufanya usafi katika mji wa Kyela. 

Usafi utakaofanywa na jeshi hilo ni pamoja na kusafisha mazingira yote ya mji wa Kyela, pamoja na kuzibua mitaro yote ya maji iliyoziba ikiwa ni pamoja na kuisafisha mitaro hiyo.

Hata hivyo Mwenyekiti wa Mamlaka ya mji mdogo wa Kyela, ameongeza kwa kusema Mamlaka imenunua eneo la maziko kwa mtu yeyote atakaefikwa na umauti, eneo hilo ni eneo linalopatikana katika Kata ya Itope, badala ya kuendelea kutumia eneo la bondeni ambalo kwa sasa eneo hilo limejaa.

Aidha shilingi 22600000/= zilitengwa katika mwaka wa fedha wa 2017/2018, na fedha hizo zimetumika katika shughuli za maendeleo kama ujenzi na ukarabati wa shule mbalimbali, ikiwemo shule ya msingi Nyasa English medium, shule ya msingi Kyela kati, na ujenzi wa makalavati katika maeneo sumbufu.

hata hivyo katika bajeti ya 2018/2019, Mamlaka imetenga fedha kwa ajiri ya kununua gari la kuzolea taka, Mamlaka inafanya haya kwa ajiri ya kuunga mkono kwa Serikali ya awamu ya tano ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuweka mazingira safi.

Mwisho aliwatoa hofu wajumbe wa kikao ambao walihoji juu ya bakaa ya fedha, alisema Mamlaka inategemea kupata majibu ya bakaa ya fedha yao kutoka Halmashauri ya wilaya ya Kyela ndani ya mwezi huu, na majibu hayo yataletwa kwa wajumbe wakikao hicho.

Imetolewa na :

Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya 

Ofisi ya Habari na Mawasiliano

Kyela.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa