• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA JENGO LA MAMA NA MTOTO KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YA KYELA

Imewekwa Kwenye: March 20th, 2025

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Halima Mdee imefanya ziara ya kukagua Miradi ya maendeleo ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Kyela ambayo ni mradi wa Shule ya Sekondari ya wasichana Mbeya Girls, pamoja na jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Kyela tarehe 20.03.2025.

Akikagua miradi hiyo Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Mhe.Halima Mdee amemtaka Mkurugenzi Mtendaji aendelee kusimamia  vizuri fedha zinazoletwa na Serikali kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ili iweze kunufaisha kila Mwananchi.

Mhe. Mdee ameitaka Ofisi ya Mkurugenzi  kusimamia Miradi  ya maendeleo kwa weredi  mkubwa  ili  kuifanya Miradi hiyo  iwe na ubora zaidi.

Naye, Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Mhe.Dkt Festo Dugange ameiagiza ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji kufuata maelekezo yote waliyopewa na kamati hiyo juu ya miradi iliyokaguliwa.

Sambamba na hilo Mhe. Dkt Dugange amelitaka Baraza la Madiwani kuimarisha ushirikiano uliyopo na Wataalamu kutoka Ofisi ya Mkurugenzi ili kuhakikisha Fedha za Miradi ya maendeleo zinatumika ipasavyo na Miradi inakamilika kwa Wakati uliokusudiwa.

Aidha Kamati hiyo ya Bunge imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kuzingatia ubora katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyela ukiwemo mradi wa jengo la mama na mtoto.

Awali Mkuu wa Wilaya ya Kyela Mhe.Josphine Manase amesema  maelekezo yote ya kamati yatafanyiwa kazi na kuhakikisha fedha zinazotolewa na Serikali ya awamu ya sita kwa ajili ya utekelezaji wa miradi zinatumika  ipasavyo.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa