• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

Imewekwa Kwenye: May 14th, 2025

Kamati ya siasa Mkoa wa Mbeya ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa Mhe.Patrick Mwalunenge imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo ikiwa ni kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi tarehe 14.5.2025.

Miradi iliyotembelewa ni Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Mbeya iliyogharimu Shillingi billion 4,906,785,794.00,jengo la mama na mtoto lililopo kituo cha Afya Kilasilo ambacho Limegharimu Million 680,000,000 pamoja na jengo jipya la Utawala la Halmashauri  ambalo mpaka sasa limegharimu Millioni 820,000,000,na ujenzi bado unaendelea.

Akizungumza katika kikao cha majumuisho kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri,  Mhe. Mwalunenge Amemshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali Wananchi wa Wilaya ya Kyela kwa kuleta fedha za kuanzisha na kuendeleza  miradi ya maendeleo.

Mhe.Mwenyekiti  ameupongeza uongozi mzima wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela  kwa ushirikiano mzuri wa usimamizi wa miradi na kuhakikisha shughuli mbalimbali za maendeleo zinafanyika kwa wakati,na ubora na wananchi wanapata huduma sahihi.

Aidha Mhe.Mwalunenge amewataka Waganga wa Hospitali na vituo vya Afya  kusimamia Miundombinu iliyopo katika vituo vya kutolea huduma hizo na kuhakikisha Wagonjwa wanapata huduma nzuri.

Kuhusu suala la ukosefu wa ajira ambayo imekua ni changamoto kwa Vijana wanaohitimu masomo ya Elimu ya juu Mhe.Patrick Mwalunenge amewataka wataalamu na Mwenyekiti  wa Halmashauri kubuni miradi ili Vijana hao waweze kujikita na uzalishaji wa mazao mbalimbali  yatakayoweza kuwapatia kipato cha kukidhi mahitaji yao.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilan Mkuu wa Wilaya ya Kyela Mhe.Josephine Manase ameishukuru Serikali ya awamu ya sita ,kwa kutatua kero za wananchi wa wilaya Kyela kupitia fedha zinazoletwa kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo.

Aidha  Mhe. Mkuu wa Wilaya ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  inayoongozwa na Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mfumo mzuri wa bei katika sekta ya kilimo hususani kwa zao la  biashara la kokoa kwani  Halmashauri pamoja na Wananchi wananufaika kupitia zao hilo.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa