• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kamati Ya Siasa Ya Chama Tawala (CCM) Kyela Yafanya ziara Ya Kukagua na Kutembelea Miradi Ya Maendeleo

Imewekwa Kwenye: January 28th, 2022

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Kyela Mheshimiwa Patrick M.Mwampeta(alievaa kofia) akiongea na baadhi ya wananchi katika mradi wa ujenzi wa kituo cha afya Itunge.

Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kyela, imefanya ziara ya kutembelea miradi ya maendeleo hapa wilayani, ikiwa ni sehemu ya kutekeleza Ilani ya chama inayowataka kukagua na kutembelea miradi ya maendeleo ili kijiridhisha na kasi pamoja na ubora wa miradi hiyo.

Ujenzi wa shule ya mchepuo wa kingereza katika kata ya Njisi bado unaendelea kwa kasi kubwa.

Ziara hiyo imefanyika tarehe 27/01/2022 kwa kutembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa kituo cha Afya Itunge kilichopo katika kata ya Itunge, kikundi cha akina mama "Tupendane" kikundi kinachojishughulisha na ukamuaji wa mafuta ya mawese, kikundi cha watu wenye ulemavu kilichopo kata ya Bondeni, kikundi kinachojishughulisha na bodaboda.

Wajumbe wa kamati ya siasa Kyela wakiongea na wanakikundi cha watu wenye ulemavu katika kata ya bondeni.

Ujenzi wa mradi wa wodi ya  mama na mtoto katika hospital ya wilaya ya Kyela, ujenzi wa vyumba 67 vya madarasa vilivyojengwa kwa kupitia mradi namba "5441TCRP" ambapo wameweza kufika katika shule ya sekondari Ipinda pamoja na mradi wa ujenzi wa kutuo cha Afya katika kata ya Makwale.

Kituo cha Afya Makwale mafundi wakiendeleza ujenzi.

Aidha Mwenyekiti wa Chama Tawala Kyela Mheshimiwa Patrick M. Mwampeta amesema, kazi zinazofanywa na wanaKyela kwa sasa zinafaa kuigwa kwani wananchi wa Kyela wamekazana katika kuibua miradi mbalimbali ya maendeleo hapa wilayani. Pia alitoa pongezi nyingi kwa wananchi wa kata ya Itunge kwa kusimama kwa pamoja na kuukamilisha mradi wa kituo cha Afya kwa asilimia kubwa.

Pia Mheshimiwa mwenyekiti hakusita kutoa pongezi zake za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mkuu wa mkoa wa Mbeya , Mkuu wa wilaya ya Kyela, Mbunge, Mwenyekiti wa Halmashauri, Mkurugenzi pamoja na watalaam kwa umoja wao na moyo wao wa kujitoa hadi kusababisha kuleta maendeleo chanya katika wilaya ya Kyela kwa sasa.

Muonekano wa kituo cha Afya Itunge kwa sasa, kituo kilichotembelewa na kamati ya siasa ya wilaya.

Nae diwani wa kata ya Itunge Mheshimiwa Nikson Mwalukama alitoa shukrani zake za dhati kwa serikali ya awamu ya 6, kwani kwa kipitia fesha kiasi cha shilingi milioni 250 zilizotolewa na serikali, zimesaidia kwa kiasi kikubwa kukamilisha ujenzi wa kituo hicho cha afya. Pia aliongeza kwa kusema wananchi wa kata hiyo bado wananguvu ya kutosha kukamilisha mradi huo pamoja na kupokea mradi mwingine wowote katika kata yao kwa maendeleo ya wanakyela.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa