• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kamati Ya Siasa Ya Mkoa Wa Mbeya Yatembelea Miradi Ya Maendeleo Kyela

Imewekwa Kwenye: January 21st, 2020

Mwenyekiti wa chama tawala (CCM) Mkoa wa Mbeya(kushoto) Mhe. Solomon J. Itunda akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (kulia), Mhe.Albart Chalamila, wakiwa wametoka kukagua kituo cha zahanati kilichopo kijiji cha Kyangala kata ya Talatala wilayani Kyela. 

Kamati ya siasa ya Mkoa wa Mbeya ikiongozwa na mwenyekiti wa chama tawala (CCM) Mhe. Solomon J. Itunda, imefanya ziara ya kikazi hapa wilayani Kyela siku ya jana tarehe 20/01/2020.

Katika ziara hiyo kamati imepata fulsa ya kutembelea miradi mutatu yaani mradi wa utengenezaji wa bidhaa za asili mfano sabuni zitokanazo na mafuta ya mawese, vikapu vya shanga na bidha nyingine nyingi, mradi wa ujenzi wa zahanati ya Kyangala iliyopo kata ya Talatala wilayani Kyela, pamoja na mradi wa Maji(Kapapa) uliyopo kijiji cha kingili kata ya Ipinda hapa Kyela. 

Akizungumza na Wananchi wa kata ya Taratara wilayani hapa, Mwenyekiti wa cha tawala (CCM) Mhe. Solomon J. Itunda amesema, kazi kubwa ya Waheshimiwa madiwani ni kutoa ushauri wa uanzishwaji wa miradi inayotekelezeka ili kuweza kuisaidia jamii husika na kufanisha sera ya chama pamoja na nchi kwa ujumla wake. 

Pia Mhe. Solomon J. Itunda alisema viongozi wajitahidi kukamilisha miradi kwa wakati na ikibidi wachague miradi michache ambayo inaweza kukamilishwa kwa asilimia 100 ili kuwafanya wananchi kunufaika na miradi inayoanzishwa katika maeneo yao.

Aidha Mhe. Itunda alitoa maelekezo kwa viongozi wa chama na Serikali kwamba, viongozi wote kukaa pamoja na kukubaliana kutekeleza miradi ambayo itaanzishwa na kuikamilisha kwa wakati na kwa manufaa ya wananchi wote. 

Kwa ujumla wananchi wa wilaya ya Kyela wamezipongeza jitihada zinazofanywa na viongozi wa serikali ya awamu ya tano, kwa kufwatilia na kutoa huduma za kutosha kwa wananchi wa Tanzania. 

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa