• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kamati Ya Ulinzi Na Usalama Ya Mkoa Wa Mbeya Yatembelea Na Kukagua Miradi Ya Maendeleo Kyela

Imewekwa Kwenye: August 22nd, 2023


Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Mbeya tarehe 21-22/08/2023, imetembelea na kukagua miradi ya maendeleo, itakayopitiwa na mbiyo za Mwenge wa Uhuru tarehe 08/09/2023  wilayani Kyela.

Kamati imeongozwa na Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa ambaye ni Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Josephine Manase, akiambatana na Wakuu wa Idara, vitengo na wakuu wa Taasisi.

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na mradi wa maji kijiji cha Lema kata ya Busale wenye thamani ya shilingi 415,439,846.22, Mradi wa ujenzi wa shule mpya Kirambo kata ya Njisi wenye thamani ya shilingi 347,500,000, Mradi wa upandaji miti katika shule mpya ya msingi Kilambo, Mradi wa kitalu cha michikichi kata ya Bondeni.

Miradi mingine ni pamoja na kikundi cha vijana Madereva waendesha magari aina ya Noa 2, ambazo walizipata baada ya kukopeshwa mkopo wa Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu kutoka halamashauri ya wilaya, mradi wa ujenzi wa zahanati ya Ndandalo kata ya Ndandalo pamoja na mradi wa Ujenzi wa daraja kata ya Mababu wenye thamani ya shilingi 161,657,445.

Kamati imetoa maelekezo na Ushauri kwa miradi iliyotembelewa, Mkuu wa wilaya ya Kyela amepokea ushauri kwa niaba ya wataalamu na kuahidi kutekeleza yote yaliyoshauriwa.

Matangazo

  • Tangazo La Kazi September 22, 2023
  • Tangazo La Kazi September 22, 2023
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA December 01, 2022
  • Matokeo Kidato Cha Nne Mwaka 2022 January 29, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Maadhimisho Ya Siku Ya Wazee Duniani Yatumika kuwakumbusha Wazee Kufanya Mazoezi

    October 01, 2023
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Azindua Kampeni Ya Chanjo Ya Polio

    September 21, 2023
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Azindua Kampeni Ya Chanjo Ya Polio

    September 21, 2023
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Kyela Azindua Kampeni Ya Chanjo Ya Polio

    September 21, 2023
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA UJENZI WA MADARASA
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa