• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Katibu Tawala Mkoa Wa Mbeya Atembelea Na Kukagua Miradi Ya Maendeleo Wilayani Kyela

Imewekwa Kwenye: December 6th, 2023

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya tarehe 06/12/2023, ametembelea  na kukagua miradi ya maendeleo wilayani Kyela, pia amepata fulsa ya kuongea na kusikiliza kero kutoka kwa watumishi wakiwemo watendaji wa kata, vijiji pamoja na Wakuu wa Idara.

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na mradi wa bweni la wanafunzi Kiwira coal mine (KCM), Shule ya msingi Mjimwema kata ya Ikimba, shule ya msingi Kilambo kata ya Njisi na ujenzi wa shule ya wasichana ya mkoa katika kata ya Busale.

Akiongea katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela, Katibu Tawala Mkoa Ndugu, Rodrick Mpogolo ametoa pongezi kwa Mkurugenzi Mtendaji Bi. Florah A. Luhala, viongozi watendaji kwa usimamizi mzuri wa miradi, lakini amewataka watendaji wa kata na vijiji, kusimamia miradi yote ambayo imeanzishwa katika kata zao na kuhakikisha miradi inakamilika kwa wakati.

Pia amewataka watendaji wakata kuhakikisha wanawabaini na kuhakikisha watoto wanaotakiwa kuandikishwa shule waandikishwe na pia wanafunzi waliofaulu darasa la saba katika kata zao wanakwenda kidato cha kwanza ifikapo mwezi wa kwanza 2024.

Vilevile amewataka watendaji kuhakikisha shule zao zote zinamadawati na tayari kwa kupokea wanafunzi.

Kwa upande wa Afya amewataka wataalamu kusimamia suala la usafi, kwani kwa kipindi hiki mvua zinaanza na wilaya ya Kyela ni wilaya ambayo huwa inakumbwa na ugonjwa wa kipindupindu, hivyo amewaomba viongozi kusimamia suala la usafi.

Mwisho aliwataka watendaji kusimamia Ulinzi na usalama pamoja na kusikiliza kero za wananchi.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATAALAM WA AFYA KUTOKA MALAWI WAFANYA KIKAO NA WATAALAM WA AFYA KUTOKA KYELA KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO

    July 02, 2025
  • BIDHAA FEKI ZILIZOINGIA KWA NJIA HARAMU ZATEKETEZWA KWA MOTO

    July 01, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • SERIKALI YAWAPUNGUZIA WANANCHI ADHA YA ELIMU KWA KUJENGA SHULE KARIBU YAO

    June 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa