• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kikao Kazi Cha Maandalizi Ya Mapokezi Ya Mwenge Chafanyika Wilayani Chunya

Imewekwa Kwenye: April 15th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe. Mbarak Alhaji Batenga, amefungua kikao kazi cha maandalizi ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru Mkoa wa Mbeya, leo tarehe 15/04/2024, katika ukumbi wa mikutano wa wilaya ya Chunya.

Kikao hicho kimehudhuriwa na Katibu Tawala wa wilaya ya Chunya Ndugu, Anakleth Michombero, Mratibu wa Mwenge Mkoa, Maafisa mazingira, Maafisa Mawasiliano serikalini, na Waratibu wa Mwenge wa Uhuru kutoka wilaya zote za mkoa wa Mbeya

Katika ufunguzi wake Mhe. Mkuu wa wilaya,  ameupongeza mkoa wa Mbeya kwa kufanya vizuri katika mapokezi ya mbio za Mwenge za  mwaka 2023.

Pia amewataka waratibu kuwa na utaratibu wa kufanya maandalizi mapema ya kuupokea Mwenge wa Uhuru katika wilaya zetu.

Aidha amesema pamoja na miradi tunayoiandaa pia amezitaka halmashauri kuandaa hamasa za kutosha.

Vilevile amesema, ni vizuri kufahamu ujumbe wa Mwenge wa Uhuru, hasa katika kipengele cha Ujumbe wa Mwenge ambao umebeba suala la mazingira.

Pamoja na hayo, amewataka waratibu kufuatilia mbio za Mwenge kabla hazijafika Mkoani kwetu ili kujifunza na kujiandaa kwa yale ambayo yatokea katika maeneo mengine Mwenge wa Uhuru unapopita.

"Ninaamini tukijiamini, tukijipanga Mkoa wetu unaweza kuwa wa kwanza" amesema Mhe. Mbarak Alhaji Batenga, Mkuu wa wilaya ya Chunya.

Mwisho amewataka waratibu wa Mwenge wa Uhuru kufanya vikao vya tathmini ya mbio za Mwenge katika wilaya zao.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WATAALAM WA AFYA KUTOKA MALAWI WAFANYA KIKAO NA WATAALAM WA AFYA KUTOKA KYELA KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO

    July 02, 2025
  • BIDHAA FEKI ZILIZOINGIA KWA NJIA HARAMU ZATEKETEZWA KWA MOTO

    July 01, 2025
  • KYELA YAFANIKISHA UNUNUZI WA GARI JIPYA AINA YA TOYOTA HILUX KUPITIA MAPATO YA NDANI KWA TSH. MILLIONI 149.1

    June 30, 2025
  • SERIKALI YAWAPUNGUZIA WANANCHI ADHA YA ELIMU KWA KUJENGA SHULE KARIBU YAO

    June 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa