• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Kyela District Council
Kyela District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha
      • Huduma za Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Biashara na Viwanda
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • TEHAMA
  • Fursa Za uwekezaji
    • Vivutio vya Utali
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, uongozi na mipango
      • Ukimwi
      • Uchumi, ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamirika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Hatua
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kongamano La Wadau Wa Mazingira Lafanyika Kyela

Imewekwa Kwenye: July 29th, 2021


Halmashauri ya wilaya ya Kyela kwa kushirikiana na wadau wa mazingira wa serikali na sekta binafsi wamefanya kongamano kubwa linalohusu utoaji wa taarifa dhidi ya utunzaji wa  mazingira wilayani. Kongamano hilo limefanyika tarehe 28/07/2021 Katika ukumbi wa halmashauri. 

Akifungua kongamano hilo, Mkuu wa wilaya ya Kyela Mhe. Ismail Mlawa amesema, Kyela ni wilaya yenye uoto wa asili wa kipekee Sana, hivyo tukizingatia sheria, taratibu na kanuni za utunzani wa mazingira basi kizazi kijacho kitanufaika na mazingira haya, Pia alisema suala la utunzaji wa mazingira ni mtambuka kwani inashirikisha sekta zote zile za serikali na sekta binafsi. Hivyo anaamini washiriki wote baada ya kongamano hilo watakuwa ni mabalozi wakubwa katika utoaji wa elimu dhidi ya utunzaji wa mazingira.

Akiwasirisha taarifa hiyo Afisa maliasili wa wilaya ndugu James Mbaga amesema, jambo kubwa linalowafanya, kuandaa kongomano hilo ni kutaka kuhakikisha kuwa, wadau wa mazingira wanafahamu sheria, taratibu na kanuni za utunzaji wa mazingira na kuzifuata, ili kizazi kijacho kiweze kufaidika na mazingira haya kama sisi tunavyofaidika nayo. Hivyo ni jukumu la jamii nzima kutunza mazingira kwa kushirikiana na asasi za kiraia, Idara na taasisi za kiserikali. 

Pia Afisa maliasili huyo aliwataka wajumbe wote wa kongamano hilo, kuwa mstari wa mbele katika kutoa elimu ya utunzaji wa mazingira ikiwa ni pamoja na kushiriki kampeni za usafi, kudhibiti ukataji hovyo wa miti, kushiriki katika mazoezi ya upandaji miti, kuwa walinzi katika kuzuia mifugo inayozurula hovyo, kuzuia uvuvi haramu, pamoja na kuhamasisha mazingira bora katika viwanda vyetu vya mpunga, mbao, mbosa na vinginevyo ikiwepo na udhibiti wa utupaji wa taka katika mitaro ya kupitishia maji.

Aidha ndugu James Mbaga ameongeza kwa kusema wilaya ya Kyela inakabiliana na ongezeko kubwa la watu, na kusababisha wananchi kutumia kwa fujo maliasili tulizonazo hivyo kusababisha uharibifu wa mazingira. 

Wilaya ya Kyela inazalisha tani 10410 za taka kwa mwezi na inauwezo wa kuzoa tani 70 za taka kwa siku. Ili kuongeza shughuli za uzoaji wa taka, Halmashauri ya wilaya imenunua trecka ambalo litasaidia uzoaji wa taka kwa wingi na kuifanya wilaya kuwa safi na Tanzania kwa ujumla.

Matangazo

  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA USAILI September 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAUGUZI WILAYANI KYELA WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA MATEMA

    May 16, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYANI KYELA

    May 15, 2025
  • KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA UTEKELEZWAJI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KYELA

    May 14, 2025
  • WALIMU WAKUU,WALIMU WA MANUNUZI, WAKUU WA SHULE,WATENDAJI WA KATA NA WA VIJIJI WAPIGWA MSASA MFUMO WA MANUNUZI (NEST)

    April 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

Tume ya Uchaguzi
Video Zingine

Viungo Vya Haraka

  • Mbeya Region Website

Viunganishi Linganifu

  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration & Local Government - PORALG
  • Public Service Recruitment Secretariat - (PSRS)
  • KYELA DISTRICT
  • KYELA DISTRICT COUNCIL

Idadi ya wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

wasiliana nasi

    Bomani Street

    Sanduku la Posta: P. O box 320 Kyela

    Simu ya Mezani: 025-2540035/7

    Simu ya Mkononi: 0713655466

    Barua pepe: ded@kyeladc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki @2017 Halmashauri ya wilaya ya Kyela. Haki zote zimehifadhiwa